Tunateswa na nyege mama, mwaume akisha kojoa ndio anakumbuka ujinga wake. Duuh kweli ile kitu noma. Kuna kabila moja uchina wana amini uchi wa mwanamke ndio mungu kwa hoja kwamba kila mwanadamu ametoka kupitia pale na pia kila mwanamme anapausudu sana na imani yao inasema bila ---- pasingekua na...
Kaka problem is not a sex but how to get a beautiful women appropriately for marriage. Pl'se take care and try again to choose best one among the best.(consider attitude,behaviour and her knwoledge)
Dr naomba niulize, mi nina mke wangu alafu nimepiga game siku zote za hatari lakini naona damu inamtoka alafu sio nyingi na wakati bado ajamaliza circle yake? Hila bado sijampima mimba.
Kumbe bado ujaijua vizuri serikali hii! Kuanzia baba mpaka watoto waongo alafu wana sahau walicho ongopa. Tatizo sio tanesco bali serikali yetu. Mi naona bora tutawaliwe tena bado akili za viongozi wa ccm zinafanana kama minyoo.
Hali tumia muda mwingi kushindana na serikali ya awamu ya 3 na kutafuna pesa alizo kusanya mkapa, sasa yake inamshidwa. Sawa si mlichagua sura? Hali ya maishi ni tete sabuni juu, mafuta taa juu, sukari juu. Kweli nimeamini tabasamu lake uhashiria udhaifu wake. Soma kitabu cha man of the people...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.