Ni kweli kabisa ndugu yangu ni lazima serekali aonyeshe ni jinsi gani maboresho yamefanyika?
Kama upatikanaji wa Dawa katika Hospitali na vituo vyote vya Afya.
Je wameweza kuleta vitendea kazi katika vinakidhi huko vijijini au ndo mafaao tu?
Madaktari waliyaainisha haya na mengi sana, juu ya...
Katika hali ya kushangaza Waziri wa Kilimo, Ushirika na Chakula ameshindwa kuchukua maamuzi juu ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma katika Shirika la ukaguzi wa vyama vya ushirika. Mkurugenzi mkuu wa shirika hili amekuwa akilifanya shirika hili ni mali yake. Katika taarifa ya habari ya TBC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.