Mimi chuisi ya ubuyu ilinisaia sana wakati fulani maana in roughage nyingi. Kukosa haja kubwa ndiyo chanzo cha magonjwa mengi mwilini. Unaweza kujionea mweyewe hapa
Aloe Vera: Little Known Facts about Aloe Vera
Jamani, Valentines Day inakaribia mno. Kwa wale wenye wapenzi/marafiki/wake/nyumba ndogo/vidumu/vigango mnaweza kuchungulia hii page yetu ya Valentines Day Special Offers
Aloe Vera: Valentine's Day Special Offers
au hapa kwa vikolombwezo vingine vya urembo
Aloe Vera: Sonya Products
au...
Jamani, Valentines Day inakaribia mno. Kwa wale wenye wapenzi/marafiki/wake/nyumba ndogo/vidumu/vigango mnaweza kuchungulia hii page yetu ya Valentines Day Special Offers
Aloe Vera: Valentine's Day Special Offers
au hapa kwa vikolombwezo vingine vya urembo
Aloe Vera: Sonya Products
au...
Ndiyo, tumesajiliwa kwa mujibu wa sheria ya dawa Tanzania. Tupo Quality Plaza, Ground floor. Mimi ni authorized distributor wa Forever Living. Piga simu nitakuletea bidhaa eneo lolote ndani ya Dar. Kwa mikoani inabidi kufanya arrangement kidogo. Karibu sana.
Kama baadhi ya wadau walivyosema humu ndani, fanya utafiti vizuri kwanza. Wakati nipo mdogo kuna jamaa alianza kwa kuuza sigara(Kipande kimojakimoja siyo packet nzima). Akakomaa mwishowe alikuja kuanzisha duka lake. Kwa hiyo hiyo laki 3 kama uko kweli serious, inaweza kukutoa. Soma hapo chini...
TSH 6,000/-
0754 710870
0769 888605
0786 139316
0783 454523
gorretti54@gmail.com
Aloe Lips
Ni bidhaa ndogo lakini inatumika kwa huduma ya kwanza, ina aloe vera , jojoba oil na nta ya nyuki ambayo husaidia kulainisha, kuboresha midomo na ngozi kwa ujumla .
Husaidia kuondoa mipasuko ya...
ARGI+
ORDER NOW: TSH 124,000/-
0754 710870
0769 888605
0786 139316
0783 454523
Dr. Ferid Murad
Nobel Prize winning doctor discusses the benefits of L-arginine, Nitric Oxide and Argi+
Badilika sasa. Angalia ingredients zilizomo kwenye deodorant, antiperspirant roll on etc. Kama zina aluminium unaweza kupata madhara ya kiafya baada ya kuzitumia kwa muda mrefu.
Tumia Aloe Ever Shield Deodorant Stick kwa usalama wa afya yako.
Hapa ni jukwaa la matangazo madogomadogo. Sidhani kama kuna wataalam wengi wa afya wanapita huku kama kule kwenye jukwaa la afya(JF Doctor).
Nenda kule ila jieleze vizuri.
Umekipata kipara na mvi katika umri mdogo au ?
una stress sana?
baba/babu alikuwa na kipara?
na mengineyo
Kama upline wako alikuficha kitu ili afanikiwe yeye tu basi hiyo siyo MLM. Ni biashara ya maandazi. Msingi mkuu wa kufanikiw ktk MLM ni kuwaonyesha downlines wako kila kitu kinachokufanya wewe ufanikiwe. Usipowaonyesha unavyofanikiwa je wewe utafanikiwaje?
soma article hapo chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.