Hivi hata wakishinda watapewa majimbo kweli?
Manake wasijefanyiwa kama serikali ya mtaa. Na kama kikifanyika hicho natabiri damu kumwagika
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu kudhibitiwa kwa Corona, gazeti la UHURU lipewe adhabu ya kufungiwa.
Gazeti hili limekuwa likipotosha umma kila kukicha na kutoa taarifa za uongo. Imagine Mwananchi lingetoa taarifa hiyo nini kingefuata!!!
Je, ni kweli Corona imedhibitiwa kila kona ya nchi? Tunadanganya kwa faida ya nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.