ukishindwa ni lazima ujenge hoja ya kudhuluiwa, lakin si unajua utumishi ni binadamu kama wewe, je wewe ukipata hiyo kazi utakuwa mwaminifu kiasi gani, nilikuwa naona kuna umuhimu wa kunyonga wala rushwa wote
iliona vipi kaa kimya sometime wengine ukiwauliza wakuona kwamba wewe ni mjuaji sana hasa zile kazi ambazo tayari wadau wwapo, ila kama kazi haina upendeleo mzee hapo shwari
MTOA MADA IF SO UNATAKA TUINGIE LIBYA sema mzee tutakusaport but baada ya mda mchache kutakuwa hakuna mjanja, kwani sisi tunao lala nje ya majumba yetu kila siku kwa ajili ya maisha yenu na mali zenu hatuna haki, je hatuna elimu kama mnavyodai, na kama hauamini kama tuna shule za kufa mtu let do...
mimi kama mdau i say utumishi hawana lolote lile zaidi ya kupata night za kwenda kufanya interview huko mikoani. ukikutana nao mahoteilini wanataka uwaabudu kama mungu, kwa hilo mimi siliwezi bora nikalime kwetu kijijini. lakini kwanini watanzania tumegubikwa na urasmu wa ajabu kiasi hicho.
Wakubwa ni bora ajira ingeenelea kutolewa kwenye kila taasisi maana usanii wa utumishi unatisha kwanza wao wenyewe hawana sifa za kumuiterview mtu ila wamejaa husuda tupu
Wakumwa mimi nilifanya interview pale mucbs( ushirika) nilikuwa peke yangu kwenye field yangu lakin cha kushangaza walitwa watu wengine, na interview ilikuwa simple ile mbaya, halafu jamaa hawajui vitu yaaani wako shaloinle mbaya mmoja wao akaniliuza what is vpc bninamwambia pardon akaridia i...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.