Wakat nipo chuo nilikuwa na demu alikuwa na tabia ya kurudi kwao karibu kila baada ya wiki mbili alafu ni umbali kama km 150.
Nikamuuliza hivi hata siku tumeoana utakuwa unarudi kila mara kama hivi akanijibu itakuwa zaid kwasababu anampenda sana mama yake, nikaona hapa chenga tu.
Nnavyokwambia...
TRA kupitia kwa mkurugenzi wa elimu kwa mlipa kodi waliahidi kuwa ndani ya mwezi mmoja material yatakuwa yamekuja hivyo leseni zitaanza kutolewa kama kawaida lakini mpaka sasa yapata miezi miwili hakuna kitu. kuna kitu nyuma ya pazia sio bure
nakubaliana na wewe kabisa mkuu kuna cover huwa ni kali zaidi ya original kwa mfano ule wimbo wa hello- adelle, joe thomas aliufanyia cover kali sana. lakini nikirudi kwenye point ya mtoa mada sio issue sana kila wimbo kuutolea cover inarudisha nyuma creativity.
bora hata mwanamke awe mzito kujiandaa kuliko mwanaume kuwa mzito, ukimuona mwanaume wa hivyo ujue hata baadhi ya mambo ya muhimu ya kiume hawez vizur.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.