Jamani huu si ndio unafikki kwa wabunge wa CCM? Pamoja na wabunge wa CCM kuikosoa bajeti, leo wanaikubali tena kwa kuitwa jina la mbunge mmoja mmoja, hawa waheshimiwa wanawasaliti wapiga kura wao.............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.