Qualified person will be employed as a COLLEGE LIBRALY.
REQUIREMENT:
1.'Diploma in libralian', 'Diploma in record management and libralian' or 'Diploma in information systems and record management'.
2. Able to communicate in English and swahili.
3. Torelant to work up to saturday noon...
1. Instructors in web design and database principles:
Qualifications;
-Must have Advanced diploma in Computer science/ Bsc. in computer engineering & IT/ Bsc. in Computer science/ Bsc. in IT.
-Must have undergraduate GPA of at least 3.5
-Salary: 500,000/= net per month plus allowances...
1. Instructor in web design and database principles:
Qualifications;
-Must have Advanced diploma in Computer science/ Bsc. in computer engineering and IT/ Bsc. in Computer science/ Bsc. in IT.
-Must have undergraduate GPA at least 3.5
-Salary: 500,000/= net per month.
2. Instructors in...
zito anapenda sana Fedha, anahongeka kirahisi. abhabunge bhenshi bhi kigoma ntibhafishe umusimamo, twimbhuke ye Dr. Kabour alikuwa zaidi ya zito lakini alichotufanyia kwa magamba we acha tu!
Zitto elewa CCM hawana shukrani hata kidogo, wasikie wakubwa zako-utatumikaaaaaaaa weeeeee mwisho wa...
Naomba Mheshimiwa Membe aelewe kuwa kila mtanzania kwa majimbo yote ya nchi hii analipa kodi, kodi hii inakwenda serikalini, mwisho wa siku serikali inagawa kwa maendeleo ya maeneo tofauti kulingana na utashi wa viongozi wa wizara husika. Kauli ya Membe kupitia kipindi cha DK 45 ITV kuwa...
jamani siku hizi NCCR wanakuwa kapu moja na CDM, NCCR ni wanafiki-wazuga tu bungeni kuwapumbaza wasioelewa kuwa wao ni CCM-C, chama kilicho makani kuwakomboa wananchi na ambacho ndicho taget ya CCM ni CDM basi, hata huyo nchemba/chemba/mfereji wa maji taka-yeye anadili na cdm tu! kitu ambacho...
Nimekuwa msomaji mzuri wa gazeti la mwanahalisi, mara zote habari muhimu ilikuwa ya huyu mpiganaji-alikuwa anatoa habari critical zenye uchunguzi wa kina: Kuna kipindi waziri wa ushirikiano wa africa mashariki kupitia kipindi cha dk 45 ITV alitoa shutuma; nanukuu:
"ninasikitika vita hii ya...
Inasikitisha kuwa na wawekezaji wa aina hii, Mtanzania mwenye degree analipwa 250,000/= hii ni aibu. mtu hana jinsi, inabidi afanye kwa sababu hana ajira. Jamani hebu serikali ifumbue macho, wanakusanya pesa nyingi sana. Kwanza hata kodi hawalipi! Jamani wana JF hebu tuangalie jinsi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.