Sio kosa lako unawaza tu kuolewa na mchaga nyie wagosi mna shida sana hamuwazi kutafuta ila kuolewa ukae ndani upige umbea kama umeona umekosa mchapakazi wa kichaga kajiuze kwa wasomali tuachen tuoane wenyewe wachapa kazi huulizwi unataka busu ngapi ila umeleta sh ngapi
Habari zenu ndugu zangu naomba mwenye lile tangazo la kazi tpb katika nafasi za freelancer na team leader please anisaidie kuliweka hapa jamvini nina shida tafadhali
Soioni atakayeweza kumkaribia lowasa tulieni nyie mliotumwa na kina sita na membe hawana sifa ila chukueni ujira we nu ila ukweli lowasa ndo jembe lililobaki ccm . tukitaka maendeleo ya kweli basi lowasa ndo jibu
jamani wadau mi ni graduate ila sijapata kazi nataka kuwa wakala wa m-pesa, tigo-pesa nimekopa mtaji nimeshapata ila nimekosa fursa ya kusajiliwa na huduma hii, nilienda tigo wakaniambia wamesitisha usajili wa mawakala na voda wakaniambia vivyohivyo sasa nipo dilema nami nilishajipanga kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.