KWanza inabidi ukumbuke kwamba sakata la bashite limewastua na wao pia, kwamba kama prezoo ameweza kumpa bashite kile kiti ilihali kwamba vyeti ni bashite, Inawezekana pia mka peleka Madactari 500 ambao wote ni bashite, kwahivyo wakenya wako sahihi kabisa.
Huwajui hawa wajinga atakuambia "arafu we reo hujapiga mswaki" huku ana zunguka gari wakati hua ameshika leseni yako na kadi ya gari lazima ushuke umpelekee chochote ndio akuteme.
Nime zifurahia adhabu nzuri walizo pata wajinga hao. Walidhani shule ilijenga kwa ajili yao tu?!!!! Yani kwakua wao hawataki shule wakaona waichome?!! Wapumbavu kabisa.
Je Nikweli kwamba hakuna fisi dume na fisi jike? Maana nime sikia wengi wakisema kua Kila fisi ana sehemu ya kiume na sehemu ya kike. Lina wezekana hili? Je iko vipi hii?
wafukue hiyo ngoma wacheki kama hamna mtu ndani ndio waseme Karudi, isije ikawa walizika mtu ambaye siye yule waliye tegemea. wafukue kwa uhakika zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.