Nawatafutia wadogo zangu mtu wa kubadilishana vituo vya kazi mmoja yupo maswa na mwingine yupo katavi wanataka kurudi mkoa wa njombe ilikuwa karibu na familia atakae kuwa tayari tuwasiliane kupitia namba hzi hapa hv 0766597333/0712230770(Wote wapo idara ya shule za msingi)
Hi wanajamii forum nawatafutia wadogo zangu watu wa kubadilishana nao mmoja yupo katavi mpanda na mwingine yupo maswa wote ni walimu wa shule za msingi wapo tayari kubadilishana na mtu ambaye yupo kwenye halmashauri ya wilaya ya ludewa,halmashauri ya mji njombe na halmashauri ya wilaya ya njombe...
Muda mwingine minaona wadogo zangu siku moja mkusanyike hata kwenye ofisi za makao makuu ya ccm ilikujua ilani ya ccm ilikuwa ni wanafunzi wengi kukosa mikopo au?Na kujua nini kinaendelea kutoka kwenye vitu mlivyo ahidiwa kwenye uchaguzi wa 2010,maana hawa wenzetu wa ccm ndio waliotufikisha hapa...
Jamani ukweli watu tunaingia universities kulingana na courses tunazozipenda mm niliamua kuingia ARDHI UNIVERSITY kwa kuwa nilikuwa nahitaji kusoma mipango miji,Nawashangaa wenzangu mnapo kuwa mnabishana tu bila kujali nini ulikifuata chuoni hapo swali langu,course yako ni udsm,udom,sua,mzumbe...
Natafuta mwalimu wa shule ya msingi wa kubadirishana nae mimi nafanya kazi maswa nahitaji mtu aliye tayari tubadilishane mimi niende njombe,ludewa au mfindi wasiliana nami kwa namba 0766597333 ambaye yupo tayari(walimu wa shule ya msingi)
Natafuta mwalimu wa shule ya msingi wa kubadilishana nae aje kasuru(kigoma),Mimi napenda kufanya kazi wilaya ya njombe,mfindi,au ludewa kwa mawasiliano piga 0766597333
Home
About us
Committee System
Documents
Publications
Budget
Parl Q&A
Cabinet
President
Home » Members »Contributions
E-mail this to a friend
Printable version...
Home
About us
Committee System
Documents
Publications
Budget
Parl Q&A
Cabinet
President
Home » Members »Contributions
E-mail this to a friend
Printable version...
Vunga vunga,ukiona karibu linakupasukia kaa pembeni uwe mtazamaji kaka wanao kupenda wengi kuliko kwanini ujipe homa ya moyo kwa mtu ambaye hakupi furaha unayo stahili kwenye ndoa
Mamiluki ccm wanaongezeka daily,kutoka lusinde sasa majimarefu,walio mpigia kura walilogwa na kama atapita tena basi wananchi watakuwa na akiri kama zake hivi,nisameheni bure jamani inakera :A S cry:
Hii nchi haiongozwi kwa kila mtu,kila kundi kufanya analotaka kila kitu kinafanywa kwa misingi yapamoja kama taifa moja na kwa taratibu zilipo,ifike mahali tune suala la dini halina nafasi unapo zungumzi mambo ya nchi,leo tukisema wakristo tunataka hili,waislamu nao tunataka hili wapani nao...
kutokana na viongozi wetu tulio wachagua,kugawa mda wao wa kuongoza katika vipindi viwili kamaifuatavyo.
1.kipindi cha kupumzika,kusherekea na kujipongeza kwa ushindi alio upata kipindi cha uchaguzi.Hiki kipindi huchukua takribani miaka minne tangu ufanyike uchaguzi na kushinda,viongozi hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.