Huenda unayosema ni kweli,maana kwanza mwanasiasa yeyote anapotoa hoja kwa mwamvuli wa aidha Mungu au Uzalendo...basi mimi napata shaka.
Kama hawa GFI kweli wakipiga hizo pesa na ni wakati wa hayati Magufuli ?
Basi ni lazima wizara ya nishati wawajibishwe kwa huo ufisadi.
Na kama hawa wabunge...
Nimemsikia Mbunge wa jimbo la Sengerema Tabasam Hamis Mwagao, akilia Kwa nini kampuni ya Global Fluids International (GFI) inayohusika na vinasaba vya mafuta imekuwa ikilipwa mabilioni ya pesa kwa muda wa miaka 6.
Mimi kinachonishangaza anamsifu waziri Kalemani na wakati wote huo wa miaka 6 GFI...
Lord ushauri wako ni mzuri sana ingawaje uzi kama huu wa maono ya maendeleo unakuwa na wachangiaji wachache.
Lakini hao wachache walopitia nadhani kama vile Mbunge Shabiby leo kalizungumzia sana suala la bandari kavu. Naye Naibu Spika Tulia amelisemea barabara ya TANZAM na reli ya TAZARA...
Asante Mkuu kwa maelezo yako mazuri na nategemea watanzania ambao wenye uzalendo wataelewa....Kama ulivyosema hapo mwanzo adui mara nyingi anapenyeza palipo na ufa.
Sasa ukiona viongozi hawakemei au kuzuia ubaguzi unaojengeka TZ basi tuendako ni giza....nimesikia kauli za wazi kwenye mikutano...
Kweli kabisa Dr Mpango alijilipua yaani alikuwa amekasirika sana hata ukiona video ile anaongea mpaka unaona mshipa juu ya jicho la kulia lacheza.
Nadhani ingawaje dhana ni mbaya lakini jinsi alivyoongea kwenye clip na kusema yuko tayari kujiuzulu kuna kitu nyuma ya pazia ambalo limemkera sana...
Ndugu Pascall kuna swala zito zaidi ya ukwepaji kodi ambalo hata magazeti ya leo hayakuandika.......Rais amedai au tuseme amebaini kuwa Makonda ametumiwa na matajiri kuleta huo mzigo kwa mgongo wa waalimu.
Swali Je si ametumia cheo chake kutumika kuingiza mzigo na kutaka kukwepa kulipa kodi???
Mkulu mimi nadhani wengi wetu hatuelewi maana ya kuwa na vyama upinzani vya kisiasa. Unasikia mtu anasema amehama chama kwa sababu kiongozi fulani amefanya vizuri.
Leo nilikuwa nasikia bbc world service wakiwahoji wa zimbwabwe walioko Harare,South AFrica na London.....kuna dada mmoja ameongea...
Mkuu katika post zote karibia asilimia 80 wame attack Zitoo personality na hakuna hata mmoja amejibu hoja.....Hii inadhihirisha tuna taifa la kujikomba kweli
Mkuu Adolph kuna kitu kikubwa kinakuja.....Jiulize tangu Magu kaingia madarakani anahubiri amani amani ...kwa nini? nchi yetu tumepata uhuru kwa amani tunaishi kwa amani kwa nini yeye kila wakati anahubiri amani????
Tangu Magu ameingia madarakani amefanya vyama vya upinzani ni adui wa nchi...
Mkuu asante Kwa nondo naomba nikuulize hivi ile familia ya Dan Gertler nawo ni kama vibaraka wa De Beers?????
Kama si hivyo mimi nafikiri huyu jamaa Dan Gertler is new kid in the block nasema hivyo kwa sababu inasemekana mzee Kabila aliwahama wayahudi na kufanya biashara ya diamond na...
Miafrika bwana chuki na uhasidi ndio maana tumepewa ngzoi nyeusi na roho zetu nyeusi....sasa huu jamaa kama kachota hela huko katuletea hapa na ku create ajira ya watanzania.....Vikings wanasifiwa kwa vile waliiba mali nchi za watu nakupeleka kwao na waingereza waliopeleka rasilimali zetu nying...
TISS ni kweli wamefanya kazi kubwa sana kwenye nchi yetu haswa wakati wa ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika wakati huo TISS walikuwa kweli TISS na bado wako mpaka sasa ambao wanafuata maadili na heshima za kazi zao.....hilo halina shaka.
Tatizo sasa hawa vijana wengi walioajiriwa TISS...
Kama Sirro angekuwa principled aidha angejiuzulu au angefanya kazi yake kama anavyotakiwa lakini njaa baba na ni miafrika ndiyo tulivyo hatutaki kuacha legacy .......njaa tu tunajali matumbo yetu na zile privilege za kupewa gari bure nyumba bure na michongo mingi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.