yaani hata mwenzio natumaini ha enjoy kabisa maana anaona una kibamia, sasa mkae chini mzungumze manakubaliana na hali zenu au? maana sio unalalamika nyumba kubwa na wakati wewe pia huna furniture za kuijaza wapo wenzio wanatafunta nyumba kubwa! usikimilie kumlaumu mwenzio nawe jua una kasoro...
Yaani ulichofanya unaona ni sahihi! ? Kuwa mpole ujue mtoto yuko wapi! Pengine kuna makubwa usiyoyajua kuonekana kwako kunawatia watu hasira na uchungu! Una uhakika mtoto yupo?
Nilifikiri labda alikulawiti! Kaaa kuchapwa tu usimsamehee mtu! Wewe utakuwa umelelewa kimayai sana. Mi nilichapwa na fimbo ina vifundo ikanitoboa mkono hadi leo alama ninayo na miaka zaidi ya 20. Huwa nikikutana na huyo mwal hadi hela ya soda nampa wala sina kinyongo kabisa! Samehe. Nawe...
Hakuwa chaguo lake ina maana alilazimishwa? Hv wokovu wake uko wapi kama hawezi kusamehe? Mtoto mdogo anang'ang'ania talaka. Kwa hiyo maisha ya uzinzi ndio anayapenda! Flola kama unapita humu rudi kwenye ndoa yako huyo gwajima ipo siku atakutema tu. Au unadhani wewe ni special sana? I wish...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.