Kina dada mwaka huu mtakoma na JF. Naona nyuzi za mademu bado zinashushwa tu. Watu hawana tena kitu cha kuandika ni mademu mademu mademu! I'm out of here!
Urembo huwatia kiburi wakiamini kuwa kila mwanaume anawataka hapo ndio unashangaa kuona binti mrembo kazaa zaa ovyo na wanaume tofauti. Hana ndoa wala nini anaruka na kila mwanaume huku akijisikia kwa uzuri wake.
Mtu akitaka asiambiwe hilo neno inabidi awe anapima kauli zake kabla ya kuzitamka. Ukifanya jambo au ukitamka kauli za "kipumbavu" watu watakuita "mpumbavu". Kwa hiyo hilo neno halitolewi tu bila sababu, mbona ni rahisi tu kuelewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.