Wadau Habari za Leo. Mwenzenu nimekwama kwenye kuomba kazi ya ualimu kwa mfumo wa TAMISEMI.
Nilifungua account na kila nikilog in inagoma kabisa inaniandikia wrong credentials. Nikijaribu kwenda ku reset password, naambiwa Failed to deliver to..... (email).
Kama Kuna mtu anaweza kunisaidia...
Wadau Habari,
Nilikuwa na akaunti ya Facebook. Juzi simu yangu ilizingua kidogo hivyo Nika Uninstall Baadhi ya app ikiwemo Facebook.
Baada ya hapo Nika reinstall ila Facebook kila nikitaka ku sign up naambiwa no internet connection hata kama network inasoma 1Mb/s
Je nifanyeje ili kuirudia app...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.