Mimi ni msichana umri miaka 30, nipo hapa kutafuta partner atakayekuwa tayari kuwa mume wangu.
Awe mkarimu, mwenye hofu na Mungu, Mkristo, awe na miaka isiyopungua 30.
Mwenye nia ya dhati aniPM.
Namshukuru mungu kwa kuniwezesha kuuona mwaka huu na pia kuwa mmoja wenu,ila pamoja na hayo yapo mambo ambayo nilitamani sana kuyapata mwaka 2012 sijayapata,mojawapo ni kuwa na mchumba ili mwisho wa siku tuoane,nimeomba sana kwa hili lakini sijafanikiwa,ni muda sasa nimekuwa nikisali kwa ajili...
Habari,nilikuwa naomba ushauri wa kitaalam ,nimekuwa nikipatwa na matatizo ya mwili kukosa nguvu na maumivu ya mgongo kwa muda sasa na kukusa usingizi mara kwa mara,uzito wangu pia umekuwa mdogo kwani kwa sasa nina miaka 27 na kilo zangu ni 41 je hii inaweza ikawa ndio sababu ya maradhi hayo...
Hapo umenigusa,jifunze kufanya maamuzi yako mwenyewe,si mapenzi yaliyokufanya maskini ila hukutumia vizuri akili yako katika kupanga maisha ili mwisho wa siku utimize malengo yako.ni hayo tu!
Kwa jinsia mi ni dada wa miaka 27 ,natafuta boyfriend. Atakaye nipenda kwa dhati hatimaye tuje kuwa mke na mume,awe ameajiriwa,asiwe na mtoto wala aliyewahi kuoa,awe na hofu na mungu,mkarimu,mrefu,asiwe mweusi sana na la muhimu awe mkristo,
Atakaye meet vigezo ani pm.asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.