Majipu mengine ndiyo haya ,bado hayajaiva yatulie tutayakamua muda ukufika. Kukaa kimya pia ni busara.kwani naweza kuzuia kinywa kusema ila siwezi kuzuia masikio kutosikia
let me tell you something. kwamba hakuna kitu cha thamani kama uhai ,pale mtu anapoutoa uhai wa mtu mwingine utalinganisha vipi na kifungo cha maisha mtu akifungwa maisha atafanya mambo yafuatayo ,atakula,atalala,akiugua atatibiwa,atakutana na ndugu zake ,jiulize yule aliyeuwawa anapata haki...
Mara zote amani inapotoweka yafuatayo hujitokeza
kuvunjwa kwa haki za binadamu
kupoteza mali
uharibifu wa miundombinu
machungu
visasi
hila
uzalishaji kusimama au kushuka
uharibifu wa mazingira
Naomba nianze kwa kusema hivi (unapodai haki kwa kuvunja haki za wengine unaweza kupoteza hata hiyo haki unayoidai) kazi ya bunge ni kutunga sheria lakini wabunge ndio wamekua wa kwanza kuvunja sheria hizo wanazozitunga wao .
Hivi kauli aliyotamka freeman mbowe siku ya mkutano wa vyama shirika...
Kwani bunge la katiba likimaliza kazi yake na kuandaa rasimu ya pili ya katiba itarudi kwa wananchi na kupigiwa kura ya maoni (maamuzi yote yako mikononi mwa wananchi kupitia kura zao za maoni juu ya rasimu ya pili ya katibu) tufunguke jamani
Naomba nitoe sikitiko langu kwa wa tanzania na tume za haki za binadamu kwamba ;kwa kua walioongea ni wapinzani .wako sahihi kutoa kauli kama hizo zinazohamasisha wananchi kuvunja sheria. Nashangaa pale waziri mkuu alipotoa kauli ya vyombo vya dola kuwapiga watakaokaidi amri halari, tume ya...
Naomba nitoe sikitiko langu kwa wa tanzania na tume za haki za binadamu kwamba ;kwa kua walioongea ni wapinzani .wako sahihi kutoa kauli kama hizo zinazohamasisha wananchi kuvunja sheria. Nashangaa pale waziri mkuu alipotoa kauli ya vyombo vya dola kuwapiga watakaokaidi amri halari, tume ya...
Cjaona chama kilichojiandaa kuwatoa watanzania hapa walipo kwenda nchi ya ahadi kwani vyama vyote vimejaa unafiki tu kwa wananchi vinajifanya viko pamoja nasi kwa kua vinatamani kushika dola na kilichoshika dola nacho hakieleweki tuache propaganda tuseme ukweli.
Wachangiaji hebu amkeni; vyama havitatufikisha kokote ila, tunahitaji viongozi shupavu,wenye ueledi na wazalendo.kwani kwenye msafara wa mamba na kenge wamo pia hata mijusi na sorokoto. Ndivyo vyama nawafuasi wake walivyo .kwanza watanzania tuachane na vyama tuwe wazalendo wa taifa letu ndio...
Ninaungana na mawazo yako mapana ,na yaliyojaa utashi wa mabadiliko na mapinduzi .kwa ufupi tumtu mpaka kufika hapo na kupata vyeti kiasi kikubwa cha pesa na muda zaidi hata ya hicho kiasi ulichokitaja :naomba wabunge hii ikawe ni hoja binafsi bungeni
Nawatakieni mafanikio mema. Ila kumbukeni wao wakiugua wanaenda kutibiwa india kwa ujumla hawataathirika kwa sasa ila subili tufe tuone watamuongoza nani mwisho tukiwatoa madarakani tuone kama wataenda kutibiwa india tutakutana nao kwenye mabenchi ya mwananyamala
Ni zaidi ya miaka 35 toka serikali ianzishe serikali za vijiji ,ambazo ndio msingi wa maendeleo na demokrasia zikiongozwa na wenyeviti wa vjiji na vitongoji ,lakini viongozi hawa wamekua wakifanya kazi bila ya kua na posho wala mishahara na kupelekea kudhoofisha shughuli za maendeleo katika...
katika bajeti hii naomba makamanda muilazimishe serikali kupitia hazina kupeleka fedha za miradi mojakwamoja kwenye vijiji,kata,shule au taasisi nyinginezo kupitiaakaunti zao ili kuwezesha fedha kufika kwawakati moja kwa moja kwa wananchi,viongozi wa juu watapatiwanyaraka zitakazoonyesha...
mnyika alikua sahihi kwani alisema haya wakati raisi yumo ndani ya bunge,kwa mtizamo wangu udhaifu wa raisi kwa kutembeza bakuli kwa wale anaowaita wahisani hajiamini hata kidogo na ndiye anayetuongezea deni la taifa kwa kukopakopa bila sababu ya msingi kwani sisi tunamtuma huko anakozunguka
· NAPENDEKEZA YAFUATAYO KATIKA KATIBA MPYA
MIKATABA YOTE INAYOHUSU NCHI IPITIWE NA TUME/JOPO LA WATAALAMU ALAFU IPELEKWE BUNGENI KABLA YA KUSAINIWA NA RAISI.
UWEPO WA MABUNGE MAWILI
(I) BUNGE LA UWAKILISHI
Hili ni bunge ambalo litatokana na kuchaguliwa kutoka kila wilaya ,na mbunge atakua...
· NAPENDEKEZA YAFUATAYO KATIKA KATIBA MPYA
MIKATABA YOTE INAYOHUSU NCHI IPITIWE NA TUME/JOPO LA WATAALAMU ALAFU IPELEKWE BUNGENI KABLA YA KUSAINIWA NA RAISI.
UWEPO WA MABUNGE MAWILI
(I) BUNGE LA UWAKILISHI
Hili ni bunge ambalo litatokana na kuchaguliwa kutoka kila wilaya ,na mbunge atakua...
· NAPENDEKEZA YAFUATAYO KATIKA KATIBA MPYA
MIKATABA YOTE INAYOHUSU NCHI IPITIWE NA TUME/JOPO LA WATAALAMU ALAFU IPELEKWE BUNGENI KABLA YA KUSAINIWA NA RAISI.
UWEPO WA MABUNGE MAWILI
(I) BUNGE LA UWAKILISHI
Hili ni bunge ambalo litatokana na kuchaguliwa kutoka kila wilaya ,na mbunge atakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.