Ndugu hizo kauli zako ziangalie vizuri kusema kiongozi kama huyu ni dhaifu kwenye mada ya gari mimi binafsi siafiki kwasababu naona unataka kututoa nje ya mada. Pinda alitueleza wakati anahutubia mkutano huku kwetu kwamba mtoto wake anasoma arusha tena shule isio ya gharama kama hio...
Ndugu Hosea anasema hivi wakati kuna fununu ambazo hazija thibitishwa na upande wowote kwamba kuna mfanyabiashara maarufu wa Tanzania anataka kupeleka pesa nje ya nchi. Hili nalo wadau likoje maana sielewi hapa? Mkutano wa kurudisha pesa unafanyika Tanzania wakati kuna mtu anataka kutoa pesa...
WanaJF huyu jamaa anaitwa Hussein Bashe ni kijana anaelelewa na mafisadi. Pia kwa taarifa zinazoendelea kufanyiwa uchunguzi ni kwamba amekuwa agent wa kuchafua watu kwenye vyombo mbali mbali. Sasa kwa ushauri wa bure tunamwambia ajiuzulu tuu ili kuirudishia new habari sifa yake ya zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.