Huyu Mzee anapenda kudandia mambo kwa masilai binafsi. Aliwahi kutoa taarifa kwenye vyombo vyake kuhusu mafisadi papa. Kati aliowataja kesi zao zilikuwa tayari mahakamani-Kesi ya EPA. Wanasheria wao wakataka kesi zao zifutwe maana media zilisha wahukumu. Mpaka sasa ilo shauri bado lipo mahakama...
Kama jina la Ocean Road limebadirishwa kuwa Barak Obama. Kwa nini Hospitali ya Ocean Road haijabadirishwa kuitwa Barak Obama Hospitali? Maana Ocean Road haipo tena.
Inamaana kuwa chotara si kuwa mwafrika halisi? Uafrika ni nini ni weusi au? Ian Khama mamake ndo mzungu babake mwafrika. kwa hiyo anafaya hivyo kwa kuwa ana damu ya magharibi? Mbona mtagulizi wake Festus Mogae ambaye hakuwa na damu ya magharibi alikuwa anafanya hivyo hivyo?
Jambo lilowazi ni kwamba statement ya kujitoa kwenye mazungumzo ya upatanishi aliyatoa baada ya kurudi kutoka ziara ya Uingereza na Marekani. Kwa hiyo ukweli ni kwamba walio nyuma ya ili ni waingereza kwani kampuni inayofanya utafiti ni ya huko.
Kama mtaala ulikuwep,o kwa nini imemchukua waziri muda mrefu kuuleta bungeni. Mtaala ni document ambayo anagalau wadau na viongozi wa elimu wanatakiwa kuwa nao. Pale Dodoma, kuna maofisa elimu wa mkoa,wilaya, nk. Ningetumaini wangekuwa nao.Kwa hiyo waziri alipotakiwa aulete lilikuwa ni swala la...
Fursa kama hii ya uhaba wa chakula duniani ni muhimu sana kwa wajasiliamali wa Tanzania. Tatizo ni kwamba nafasi kama hizi huwa atuchukui advantage yake wakati zinapojitokeza. Ni muhimu kujipanga haraka nakuweza kuingia kwenye hii biashara ya mazao ya nafaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.