Japo kuna msemo usemao adui muombee njaa, bado naungana na mawazo ya kaka yangu Manyerere ukweli ni kwamba hakuna CDM bila Zzk! wengi wa vijana waliopo CDM walipata ja kubwa baada ya kumuona kijana mwenzao akipata nafasi za juu za uongozi bila kuogopa chama tawala, aliishambulia serikali kwa...
Si rahisi kutoa pongezi hizi lakini nalazimika kusema hongereni sana. mmefanya kazi nzuri sana kwetu ss wa upande wa pili dhidi yenu, kwa miezi kadhaa Zzk amejitahidi kujipenyeza kwenye himaya zetu sina hakika sana ni kwa kiwago gani lakini ni kweli alijitahidi kujipenyeza! kwa kuwa Mungu bado...
Mabadiliko yapo mengi sana, mfano miaka hiyo eneo ambalo leo linaitwa Mwinyi kulikuwa na majaruba ya Mpunga na pori la miembe, nyuma ya Tabora Boys pia kulikuwa na pori kubwa ambako tulikuwa tukifuata Ndati leo hii kuna kitongoji kikubwa cha Kariakoo hali kadhalika nyuma ya tukutuku kuna mji...
Mdogo wangu Siasa isikufanye ukaanza ufikiri kwa kutumia Ma------! Jabir katika uhai wake ameugua mara kwa mara na amekuwa akitibiwa na familia kwa ushirikiano na CCM! marehemu hakuwa mwajiriwa wa CCM bali kiongozi wa kuteuliwa ngazi ya wilaya na mkiti Nkonkota na Mkiti wa Mtaa kupitia CCM...
Nina Rafiki yangu amekuwa House Boy wa wazungu karibu miaka kumi na tano sasa japo aliishia la nne ana uwezo wa kuongea kiingereza saa 24 mfulululizo nadhani huyu angepata nafasi ya kuomba kura bungeni tungemsapoti ba ndugu!
Nipo kati kati ya mji wa Tabora hebu nyie mnao jifariji niambieni Manispaa ya Tabora mna madiwani wa ngapi katika kata 25, mna wenyeviti wa mitaa mingapi katika mitaa 117? Hapa ndio kitovu cha CCM Bhanaa !
Ndg wana JF, kumekuwa na mkanganyiko mkubwa juu ya uteuzi wa wajumbe wa tume ya mabadiliko ngazi ya kata kuwa wajumbe wanaostahili kupiga kura ni kina nani? Wataalamu hawaruhusiwi kupiga kura, je kama mkiti amegombea na ameshinda/ameshindwa haruhusiwi kupiga kura,wagombea hawaruhusiwi kuwepo...
Msitokwe na povu midomoni! Tabaora mjini tuna kata 25 madiwani 24 ccm mmoja tu tena alishiriki uchaguzi wa ccm wa kura za maoni kama mjumbe ndiye diwani wa cdm, narudia kusema CDM haina nguvu Tabora zaidi ya wanafunzi wa vyuo ambao wakiwa likizo Huwezi ona mtu kavaa sare wala nembo yoyote ya...
Karibuni Sana Tabora mje muone nguvu ya CCM! hakuna Chadema Tabora wala haitakuwepo, Chama rafiki chenye nguvu Tabora ni CUF, nenda Soko kuu Tabora kaongelee habari za CDM kama hutong'elewa meno
Acheni uzushi, mnapozungumzia Tabora ina maana ya Tabora mjini au? kama kaliua semeni kaliua siyo cdm yajipenyeza Tabora kwa Tabora itachukua miaka endeleeni kutamba huko huko kwingine Tabora marufuku, kata 25 Diwani wa CDM 1 tena aliyejiunga na CDM siku ya mwisho ya uteuzi baada ya ccm kuteua...
Kijana sango hongera sana kwa speech nzuri usitarajie sana kupongezwa na kila mtu but kwa maudhui ya speech hiyo kuna kitu nakiona toka ndanai ya moyo wako keep it up tupo pamoja!
Hey Guys! waacheni uvccm wafanye chaguzi zao kwa salama na amani, kwani chaguzi zote lazima ziwe na kelele za hapa na pale but long at last uchaguzi utafanyika kwa amani, na hakuna mtu mwenye kuweza kupanga safu kwakushawishi Tanzania nzima eti imchague fulani, ni kweli baadhi ya watu waweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.