hawa watu siku zote wamekuwa wakilelewa na bado RAISI anakaa kimya....sasa ikulu amemwita wa nini???????\
DAVID najua uko ama on line ama unaona na kusoma mawazo ya wana JF ambayo kwa wakati mmoja yanaweza kukuonyesha nini cha kufanya kukwamika na laana hizi za kila siku......./
1)))Kwa macho...
> Jumanne Mei 06, 2008 Habari za Kitaifa Habari zaidi! Aliyekutwa na kichwa cha mtoto kortini kwa mauaji Veronica Mheta na Emil SimonDaily News; Tuesday,May 06, 2008 @00:03 Habari nyingine Ajali zaua watu wawili DarPonda matatani tenaAmuua mkewe kwa kumchinja shingoMchuchuma, Liganga...
Wanafunzi 1,200 wafukuzwa Shule
2008-05-06 10:35:51
Na Patrick Chambo, PST Mwanga
Wanafunzi zaidi ya 1,200 wa Shule ya Sekondari ya Kifaru iliyopo wilayani Mwanga wamefukuzwa baada ya kupinga adhabu ya kushika kinyesi cha binadamu kilichokuwa kimehifadhiwa kwenye ndoo ya maji.
Habari...
koba
kugoma wamegoma jana na juzi na wanatarajiwa kuendelea na momo tatizo lilopo ni kubwa kiasi watanzania kama mnavyowajua hivi sasa wameamua hawataki kuchaguliwa viongozi just bora kiongozi.....walichofanya jaamaa waliweka watu wao wanafunzi wakasoma nyaakati wakachekecha wakachomolewa...
Mmesikia Jamaa Kadai Miaka Kumi Ya Uanasheria Mkuu Inamtosha Kuwa Na Hela Haya Mzee Mwanyika Kazi Kwako Kumi Ujafikisha Uko Kwenye Epa Ukifikisha Kumi Si Utakuwa Na Trillion....mi Bado Nakuhesabia Miak Inaonekana Hiko Cheo Kizuri Sana Jamani Kwa Mwaka Mmoja Inaamana Anapokea Million Miamoja...
ur right men na si kusema akiwa nyuma ya pazia la UN...nami nitamwita bin mnafiki kwa hili...aweke wazi kama wenzake wanawaswa wa zambia....africa tuwe na msimamo kama alikuwa na msimamo wa comoro yyyyyyyyy not zimbabwe ,,,atangaze basi kupitia kivuli cha AU.....
Jamani Msinichekeshe
Hii Ni Hatari Sana....muungwana Akifungua Jambo Achelewi Kusema Anrudi China Kuulizia Hiyo Risala...
Muungwana Toka Us Rudi China Upewe Data.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.