Habari zenu Wanajanvi. NICO ni Kampuni ambayo ilikuja kwa kishindo kikubwa na kuweza kuushawishi umma kuwa ni kampuni ya ukusanyaji mitaji na kuiwekeza kwa niaba ya wanahisa. Wengi tulishwishika na wengi walinunua hizo hisa.
Wakati wanaanza ofisi zao zilikuwa pale Raha Towers ghorofa ya 4. Ni...
Nitaanza kwa kusema kwamba kilichofanyika sio sahihi. Kabla hatujaenda kwenye vifungu vya sheria Civil Service Act, 2003 na pengine Employment and Labour Relations Act, 2004 ili kuona kama Mwajiri anayo mandate ya kushusha mshahara wa mwajiriwa, tujiulize haya:
Kwamba, ajira ni mkataba/...
Mwongozo mzuri kuhusu suala lako utapatikana baada ya kuwa na facts za ajira yenyewe. Facts hizo zinakuwa zimebainishwa na mkataba wa ajira. Hivyo, ni muhimu kwanza kujua mkataba wajira yake ni wa aina gani na msingi wa makubaliano kati ya mwajiri na wajiriwa ulikuwa ni nini?
Kwa msaada wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.