Rais anakuja kutulalamikia sisi tufanye nini ati watu hapa wanamsifia where is this country heading to???dah inasikitisha sanaaaa watanzani na ushabiki wa ajabu SWALI NI KWANINI HAKUMSHITAKI LOWASSA?YEYE NDIE MKUU WA NCHI!!HILI PEKEE LINATOSHA KABISA KUWAADHIBU CCM.
Hivi wewe unaushahidi wa wizi then unataka mdahalo tanzania tunaenda wapi????hii ni hatari sanaaaaaaa mdahalo kwa manufaa ya nani???yani kwa kweli nimemdharau sanaaaa sitta!!
Achekaye kengeza.......jana nimemuangalia
makongoro akicheka kwa kejeli sana na
kuongea kwa mbwembwe kua lowassa ni
mgonjwa!!nataka nimkumbushe kaka
makongoro huyo hapo ni mwai kibaki
mwaka wa 2002 alipowatoa kikongwe cha
kenya kanu madarakani hakuna alieamini
angekwenda mihula 2.kibaki...
Hivi uchu wa madaraka ni nini??vijana wa ccm mtazeeka vibaya thanks for telling us nothing!!!dah viongozi wa ccm hawana uchu wa madaraka baada ya miaka yote hii nini wanakingangania pale magogoni!?????
80% wana majimbo na jasho lazima liwatoke watapata wapi mda ya kuzunguka na magufuli kwa hali ilivyo hakuna mbunge atacheza mbali na jimbo lake kazi ipo!!!
huyu mtu ni mkubwa ki mwili ila akili fupi sana.wewe unajua bashe ametoka wapi na lowassa na hapo mimi huwa nasema ccm imebugi sanaaa amini usiamini wabunge wengi wa ccm mchana wataongea magufuli kampeni za usiku watawaambia wapiga kura akili kichwani mwenu.mimi nina uhakika wabunge wengi wa ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.