sensa ni kwa ajili ya kujua idadi ya watu na itikadi zao za dini.sio jambo jipya Tanzania wala duniani kwa ujumla.ukijaribu kutaka kujua idadi ya watu nchi yoyote na itikadi za dini zao unapata.swali kwaninï iwe ajabu sasa na hapa Tanzania?kuna jambo nyuma ya pazia.
Baba wa taifa ni kiongozi mkubwa aliefanya makosa makubwa,moja wapo ni kila alichosema yeye ni sahihi.mawazo mgando hufikirii tena kwasababu ameshasema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.