alaf jamaa walivyo wanafki walijikausha kimya nw watu wameshtukia ndo wanasimama eti kutetea wakati inapitishwa walikuwa wapi? wao washaridhika na posho zile wameanza kujisahau
kweli kabisa kura yangu ni moja tu. na hakuna anayeweza kupiga kura mara mbili kwa wakati mmoja. Wafanyakazi woote nw ndo muda wa kuungana hawa wabunge wameshindwa kututetea so ya nn kuwarudisha tena madarakani
nyie wabunge paka siamini kama nyie ndo mlopita kwa wananchi kuomba kura ambazo leo ndo zimewaweka humo bungen. Hii sheria ya mabadiliko Mifuko ya jamii imepitaje au nyie mmeridhika na hivo viposho mnavyopata au wafanyakazi hawawahusu nyie. SASA HIYO SHERIA HATUITAKI NA MUIONDOE SIVYO MWAKA 2015...
wizi mtupu mmewekeza ktk miradi isiyo na faida sasa mnataka kuzuia hela zetu ili muendelee kujikimu hakuna chochote na hatutaki siasa katika hela zetu. Msituletee hizo habari hatuwaelewi
nasikitika kukwambia na mchuma ako pia yupo ktk hali ambayo uko nayo wewe coz na yeye ameshakusaliti kama wewe ulivyomsaliti tena kwa njia hiyohiyo uliyotumia kumsaliti so tafuteni muda muongee jinsi ya kuwaacha hao ili muendelee na maisha yenu yaliyotawaliwa na tamaa zisizo na maana
Mji mkuu kuwa dodoma hausiani na kutokuwa na bahari. Bado siamini kama akiliyako unayoamini ni timamu inaweza kufikiri kifupi hivyo. Kwan bahari na mji mkuu vina uhusiano gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.