Habari Ndugu,
Nenda kwenye garage nzuri, waambie wakague mounting za gear box na engine. Zinapokatika, uki engage gear, inacheza hence hicho kishindo, nadhani pia kuna ka kishindo unakasikia ikihama 1 kwenda 2
Oooh nimesahau, kuna Mark ii GX110 kwenye hiyo listi na nilitumia muda wa mwaka mmoja tu, nikavuliwa na rafiki na ndugu yangu mchungaji wangu yuko mbeya, hayo siyo maneno matupu references zipo
Asante Kwa maoni yako, Altezza, GX110 na Verossa zipo za bei chini zaidi ya hiyo uliyotaja, mimi si mgeni wa kumiliki magari, nina umri wa miaka 43 sasa hivi, nilianza kumiliki magari nikiwa na miaka 26. Nilianza na Cresta Balooni, niliuza Dodoma miaka hiyo, Suzuki Escudo, nikauza hapa hapa Dar...
Samahani niko Dar es Salaam, Zakhiem kiwanda cha simenti siku za weekdays, na siku za weekend nakuwa Kitunda Relini, gari inakuwa maeneo hayo sababu inatumika
Asante Sana mkuu. Kwenye hivi vyombo utunzaji ni muhimu sababu huwa usipotunza ukataka kuuza inakuwa ngumu, lkn ukitunza mteja akija, msisitize aje na fundi aendeshe tena kwenye njia mbovu mbovu, hachomoki ! Haha haa
Nilifanya overhaul, kabla ya overhaul niliomba ushauri kwenye uzi mmoja wapo hapa JF.
Wengi walisema usifanya nunua use. Wachache waliunga mkono. Siku nilipokuwa tayari nilienda Ilala kutafuta used nikiwa na fundi.
Kuna mambo kadhaa nilikutana nayo ambayo walipitiliza budget yangu, engine...
Hii Gari inauzwa Milioni 3.9 kama unavyoiona imetunzwa vizuri sana. Service yake inafanywa mara kwa mara. Ni gari ambayo unanunua na kuondoka, haigongi chini na ina shockups genuine mpya nyuma na mbele.
Ina mziki mnene pia. Karibuni.
Ni six straight, VVTI Beams 2000.
Mawasiliano 0743753561...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.