jamani ee pia watuambie mradi huu unakamilika lini mbon unaenda polepole sanaaa maana tumechoshwa na foleni hasa kuingia pale kituo cha Ubungo ni tabu kubwa sanaaaa! jamani tunateseka ! Magufuli mbona hatujasikia makali hapoooo!
Mimi naona mjadala mnaoendeleza ni wa kutaka kukashifiana dini sio lengo la forum hii! pembuene tatizo lillopo kwani hata ma padre ana wachungaji wamepatikana mara nyingi na scandal kama hizi! tusivuke mipaka! hakuna alyefariki halafu akafufuka na kutueleze kwa dini ipi ndio sahihi bali ni imani...
hebu tuchambue hoja yenyewe wala tusinganganie kukosoana! unajua kama vita unaisikia kwenye vyombo vya habari huwezi kuona kama ni kitu chenye madhara sana ni kama hakikuhusu nadhani hizi asilimia 40% za uchangiaji zitakapo ugusa mfuko wako ndio utaelewa machibya na wengine wanaomuunga mkono...
jamani mbona mnataka kuturudisha kule nyuma tulipokuwa na wasomi wachache! maana watu 2000 wasiporejea chuoni ina maana hapo umetengeneza wahalifu, wazururaji , wangapi?
Mpaka sasa ni vigumu kuelewa nchi hii vipaumbele vyake ni nini! ukienda Hospitali pale Mwananyamala au muhimbili wagonjwa bado wanalala chini! sasa Uchumi huu utajengwa bila elimu wala afya bora? jamaani jamani ya Zimbabwe yasije kutukuta jamani chondechonde! naona tunacheza! historia inatuambia...
ama kweli binadamu ni wepesi kusahau! leo hii ndugu zetu watawala wameshiba na hawakumbuki tena kama kuna masikini ambaye hawezi kuikusanya hata laki moja kutimiza hiyo 40%. Dhuluma hii siku hiyo ya hesabu kutakuwa hakutoshi! naongea kama mdau ambaye nimepigika nimelipa hizo asilimia arobaini...
inashangaza kwani wanaoteseka ni watanzania masikini ambo ndi wapiga kura na wanaowaweka madarakani na enjoy neema! na mara wanawasahau wateseke kwa njaa!
jamani viongozi wetu wawe na huruma ! watu wanabadilika sana na Misifa yote ya balali leo huwezi kuamini maana jamaa mapesa yalimgeuza kuwa mdudu! nadhani wapo wengi wa aina Hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.