Nahitaji kuwa na mtu mmoja wa kufanya nae biashara kubwa ya stationary kibwa sana mjini Bukoba,,awe seriously kwa hilo mimi nipo Dar es salaam ila ni mzaliwa wa Maruku,yeye awe ni mtu ambae makazi yake yawe Bukoba,, njoo ijbox tuongee
Wakuu habari,,nataka kufungua duka la vinywaji hasa vileo kwa bei ya rejareja maeneo ya Tabata ila bei zangu nataka ziwe za chini kama kwenye super markets vile,,kama Wine, Whisky, Beer shampagne na soft drinks zingine,,,naomba kujua jinsi na wapi napata super supplier's wa hivi
1) Beer za...
Wakuu habari,
Kuna tatizo gani na tovuti ya chuo cha Moshi Co-operative University? Ukifungua inakuja kialama kama namba nane ila kimealala na kuzunguka kama kinasachi bila kikomo, tatizo ni kwangu sijui jinsi ya kufungua au kila mtu.
Nashindwa kuendelea na usajiri wa binti yangu aliechaguliwa...
Utafiti unaonyesha kuwa panya buku ndie kiumbe kinacho furaia tendo la kujamiiana kuliko viumbe vyote duniani,,
Panya buku dume hutafuta maficho ambayo hakuna kelele wala vurugu ya aina yoyote ile,maandalizi huchukua mpaka wiki kukusanya chakula na kukiifadhi sehemu hiyo ya faragha ambacho...
Msaada, natafuta wimbo wa gwiji la Slow Jams R-Kelly unaitwa Trapped in the closet,wote,ni mrefu wa kama nusu saa, mwenye nao naomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha inaonekana waziri alikuja mda mrefu tu kwa idadi ya walionyuma yake kama walikuwa wanakuja mmoja mmoja na kumkuta kufikia idadi ile,,
Ila wounders will never end in Tz
Naanza kwa mfano,, ukisikia mtu anasema Kwa nyumba nzuri ya kutosha familia kwa sasa imatakiwa standard na vyumba vitatu vya kulala, hiyo standar inaweka muongozo tu maana yake ukijenga ya vyumba vitano, sita, kumi unakuwa upo within the standard,, hata kuwa na watoto wa kuzaa vijana sasa hivi...
Kuna haja ya kuwa na uelewa kidogo wa sheria, sheria hutumika pale ilipotungwa na hata ikitenguliwa tenguo lake hutumika kuanzia pale hukumu ya tenguo ilipotoka,
Mf:Baba yako akisema watoto wake wote watazaliwa hospital ya Temeke basi wewe uliezaliwa Meta Mbeya hutokuwa mwanawe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.