Wadau inawezekana uhakiki umekwisha au unakaribia kwisha, nimepigiwa simu kuitwa kwenye usahili Mfuko wa Rais wa kujitegemea (TASAF). Kuna mdau yeyote amepigiwa simu pia?
Hakimu mkazi Daraja la II, Afisa Utumishi Daraja la II, Afisa Tawala Daraja la II, Afisa Ugavi Daraja la II, Mkaguzi wa Hesabu za Ndani Daraja la II, Mhasibu Daraja la II, Mhasibu Msaidizi, Katibu Mahsusi, Msaidizi wa Kumbukumbu, Msaidizi wa Maktaba, Mpokezi, Msaidizi wa Ofisi na Mlinzi
Nahitaji chumba cha kupanga (single au master), kiwe maeneo ya Keko, Karume au Ilala Boma.
Mwenye kuwafahamu madalali wa maeneo hayo tafadhali tuwasiliane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.