Ni kutokana na uongozi uliyoko chin yake na baadhi ya wizara kwahiyo unakuta lawama zote anazibeba yeye!! Dah ila kuongoza nchi kunahitaji moyo coz lawama zote lazma ztakuhusu!!
Jaman nimeachwa kisa ni mtandao mmoja hivi wa kijamii, sio kwamba nilikua nautumia vibaya wala nini!! Ila ilifikia mda nikaambiwa mambo yangu yote anayajua kwahiyo mimi na yeye tusijiane!! Nimejaribu kuomba msamaha bila hata kosa kutokulijua ila vimeshindikana, naombeni ushauri wenu wa hali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.