Gari hili bado halijauzwa na Engine yake ni 2.0L, NILISEMA HALIJAWAHI KUTUMIKA Tanzania kwa maana kwamba silitumii kuzungukia tangia liingie, umeliona hayo maeneo kwasababu ndiko linakokuwa ni vyema kama unalihitaji ukaja kuliona mwenyewe.
Gari hili ni manual na limetengenezwa Japan, ila...
GARI LINAUZWA-TOYORA RAV4 5 DOORS-NI LA MWAKA 2003 KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NO. 0767212523 AU TUMA UJUMBE KWENYE EMAIL: p.ayubu@yahoo.com. imetembea kilomita 99000,haijawahi tumika Tanzania tangia ije na haina tatizo lolote. Bei ni sh.20,000,000/= kuna maelewano.
Gari aina ya Toyota Rav4 5doors linauzwa, ni la mwaka 2003 bado halijatumika Tanzania na limesajiliwa kila kitu,bei ni milioni 20.tuma email kwa p.ayubu@yahoo.com au piga simu namba 0767212523.nataka yule anayetaka kununua tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.