wajameni nisaidieni wapi nitapata kuku wa kiajeji kwa ajiri ya kufuga ,mfano kuchi nipatieni na gharama naitaji mitetea kumi na jogoo mmoja.natanguliza shukrani but napatikana Dar .
Ipo wazi kwa sasa kuna umbukufu mkubwa wa walimu ktk mosomo hayo nami naona naweza changia kwa kuwa nimekosa kazi ktk fani yangu,nimemaliza 2010 UDSM Bsc comp science.
Jaman nimetafuta kazi za IT nimekosa lakini ni muitimu wa Bsc Comp science UDSM,naweza fundisha masomo hayo na comp application kwa mtu anayejua wapi naweza pata kazi ya uwalimu pls ni PM.
mimi walinitumia hii.:A S-baby:
Habari,
Hongera sana,
Nimeattach barua ya kukubaliwa kufanya kazi hapa POD Volunteer,Belize(Central America),utaisaini na kuirudisha kwangu.
Pia unatakiwa kufanya malipo kwa ajili ya Visa/work permit ambayo gharama yake ni dola $260,itachukua siku 3 za kazi...
sor jamaa yupo sahihi kabisa zoom uwacopy pest kazi,kuna kazi ya TPDC IT systems analyst check job disc yake afu cheki na hii IT Specialist (15 Posts) Job in Arusha, Tanzania zinafanana kabisa.
wapendwa mzee wangu alinunua hisa ktk twiga cement,wakala wao wa hisa ni core securities ltd.sifaham wapo wapi kwa sasa nasikia wameamisha ofisi kwa anae faham wameamia wapi anijuze.
Heshima mbele RETI.
Mimi nataka kufuga kuku wa kienyeji kwa kufata mchanganuo wa kuanza na kuku jike 5 na jogoo mmoja kama ilivyo elezewa kwenye topic moja umu jf,nachotaka kufanya kama jamaa alivyo sema kuwa kuku wanaweza taga adi mayai 30 mimi niyachukue afu nitotoreshe kwenye mashine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.