Mtoto mdogo hana uwezo wa kumwamini Yesu au kutokumwamini , pia hana uwezo wa kutubu dhambi zake kisha abatizwe..... umri unakua kigezo kikubwa kwasababu mtu mzima anaweza akafanya haya maamuzi pasipo kulazimishwa..
Watoto wadogo hawabatizwi ni upagani ulioingizwa ndani ya kanisa na watu wanaufuata bila kujua na wengine wanajua ila hawajui cha kufanya.
Anaebatizwa ni mtu mzima anaeweza kumwamini Yesu, akamkubali na akatubu dhambi zake . Je mtoto mdogo aweza kufanya hayo???
No hujapona bado anaweza akawa kashakumiliki na ataanza kukujia kwenye ndoto kufanya mapenzi na wewe kama spiritual wife. Jitahidi uombe na kuwa karibu na Mungu saana.
Kama wengine walivosema ni kweli tatizo lako ni la kiroho zaidi. Hizo ni spirit chafu ambazo ziko kwa ajili ya kukurudisha nyuma ili usivuke hatua moja ya maendeleo kwenda hatua nyingine. Nenda kwenye maombi kabla hujachelewa.
Kuna somo la kujifunza hapa kutokana na huyu mama. Kila jaribu unalopitia katika maisha , usilalamike sana na kukata tamaa, Mungu hajakuacha ila anaandaa njia nzuri ya kukuinua kwenye level za juu zaidi. Mshukuru Mungu kwa kila jambo.
Mimi naona kama itahatarisha ufadhili wa NGO nyingine hapa Tanzania, kutokana na influence ya watu waliomo ndani ya hii taasisi ya JK .
fedha ambazo hizi NGO walikuwa wanapata kutoka kwa wafadhili wanaweza wasizipate kama mwanzo na badala yake hii kikwete foundation ikawa inawadaka hawa...
Nawaonea huruma hao wafuasi wake. Mchungaji mwenye roho za kulipiza kisasi namna hii sijui atasubutu vipi kunifundisha somo la msamaha, upendo na tunda la roho .
Ni roho gani inayomuongoza huyu baba? Kamwe haiwezekani akaongozwa na roho Mtakatifu na akafanya hayo anayoyafanya.
Ningekua muumini wa hili kanisa ningehama jumla. Maana siwezi kuongozwa na mtu ambae ni mchungaji anaejua kua anatakiwa kusamehe na kuachilia na pia anajua visasi sio vya mwanadamu ni vya Mungu then anajifanya kua kipofu na kiziwi. Utumishi wake una walakini kwa kweli...
Kwa jambo hili Mkuu wetu amekosea sana. Nadhani hata hao washauri wake wa karibu wanashindwa kumshauri maana ana jazba sana. Unaweza kuwa na nia ya kumshauri ukajikuta umefutwa kazi pasipo sababu.
Watu wengi wanaowapinga hao manabii hata kuwajua hawawajui, hawajawahi kufatilia mafundisho yao japo kwa one week wawasikie na kuona kwa macho yao hawa watu. Cha kushangaza ndio utawakuta wakiwatukana na kuwaita matapeli , wezi, mara waganga. Hebu muulize kama anamjua huyo bushiri au Tv chanel...
Serikali imefanya vibaya jamani. Maana wengi waliochanga hela zao waliingiwa na huruma ya kibinadamu kwa kuona binadamu wenzao wanalala nje , huku wakinyeshewa. Sidhani kama watu waliiigiwa na huruma ya kuchanga kwa kuona taasisi ya serikali imeharibiwa.
Hata hao waliotuchangia sijui kama...
Asanteni wote mlionishauri nimeonana na dr pale muhimbili ameniambia niuondoe kwa operation ingawa ni hatari kwa mtu ambae hajazaa kuna complications zinaweza jitokeza ukakosa kuzaa .Ila sina jinsi.
Nina tatizo kubwa la fibroid kwenye kizazi. Na fibroid ni kubwa, ina cm 12 kwa cm 10. Ninataka nifanye operation ya kuiondoa.
Naombeni ushauri nipate Dr mzuri. Na pia naomba faida na hasara za kuiondoa kwa operation. Ninataka kuiondoa haraka kwa sababu ninahitaji kubeba mimba . Yaani...
Baada ya miaka 10 ijayo sehemu kubwa ya Tanzania itakuwa inamilikiwa na wawekezaji wa china. Tutakuwa watumwa kwenye Tanzania yetu wenyewe. Nawasikitikia wanangu na wajukuu zangu wajao....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.