Punguani mwingine asiyejitambua. Mnapigia kelele mkopo uliofuata taratibu zote wakati matrilioni yanayoibiwa na wezi ndani ya Serikali mnajifanya hamyajui.
Dah! Kwanza wanashughulikia umaskini wao kama viongozi kwa kufanya ufisadi, sijui itachukua miaka mingapi ili wahakikishe wao kama viongozi si maskini tena, kisha ndiyo washughulikie matatizo ya Watanzania! Kazi kweli kweli! Itakuwa vyema sana kama CHADEMA wakiichukua hii na kuitengenezea...
Tanzania bora/njema inawezekana kabisa kama mafisadi hawataendelea kuwepo madarakani. nadhani watanzania wengi sana ndoto yao inafanana sana na ya kwako. Tuombe kuanza kuishuhudia ndoto hii hapo October 31, 2010
neno hilo Indume! Si unakumbuka wale mafisadi chungu nzima walipotajwa na Dr Slaa wote walimjia juu kwamba amewachafua hivyo wakamtaka awaombe radhi au wangefungulia mashtaka ya kuwachafua hadharani. Nadhani unakumbuka ni mafisadi wangapi katika ile list walifungua mashtaka. Hapa kuna neno maana...
Wakati huu sijui kama watasema lolote zaidi ya kusema wanafanya uchunguzi, labda mpaka baada ya uchaguzi na matokeo kutangazwa ndiyo watalizungumzia hili lakini wanaweza kuliua kinamna hasa kama muhusika ni moja ya mafisadi wakubwa ndani ya CCM. Unajua tena sheria zetu inapokuja kwa mafisadi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.