Oh! Analipwa kama kawaida. Ila kwenye taarifa ya leo kutoka kwenye kampuni hiyo kuhusu makala za Mwanahalisi wanasema amechukua likizo ya 'kisiasa'! ila yeye ni bado mmoja wa wamiliki na wenye hisa.
Mpita njia, wewe mwenyewe unafahamu kuwa Bi Karume ni mmoja wa wana IMMMA kwa sasa. Waliazimia kuchota fedha za kidume mzoefu, hatua ya kwanza ni kumchomoa kwenye mrija.
Wamefanikiwa lakini wao kutia mdomo imekuwa shida kwani aliyechomolewa hakubali. Kwa kifupi ni hivyo, ya zaidi tusubirie.
Kuna habari ambzo hazipingiki kwamba kuna vita kali kati ya makampuni wawili ya sheria tajwa. Inasemekana kampuni ya Mheshimiwa Mkono ina vita kali na IMMMA kwa sababu imefanya fitna mpaka ikaondolewa kwenye tender ya BOT. Pia inasemekana kwamba kwa mvuto mkubwa iliyo nayo kwa sasa (IMMMA) ina...
Eh! Mugi, naona umeamua kweli kulivalia njuga. Any way, uko right kabisa ila kwa kweli mi naona kama ni jambo dogo sana. Kwa nchi kama ya kwetu kutumia hela za mvuja jasho kwa mambo kama hayo huwa imeshakuwa kawaida. Kwakweli kuna ufujaji mkubwa kuliko huo ambao hata inatia kinyaa!!!!!!!!!!
Jamamni, mbona mambo yako wazi sana? Mnamlaumu babah kwa kutokuelewa tu. Labda kwa sasbabu ametumia lugha chafu. Tafuteni gazeti la Mwanahalisi la juzi jumatano. Wala hutakuwa na haja ya kuhoji, ukweli always hujitenga! Kuna element za ufisadi hata kwa mtu asiyekwenda shule.
Charles Mullinda
JUMATANO, Februari 20, Tanzania Daima Jumapili ilifanya mahojiano na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Mustafa Karamagi, kuhusu mustakabali wake kisiasa baada ya kujiuzulu wadhifa wa uwaziri na jinsi alivyoipokea Ripoti ya Kamati Teule ya Bunge, iliyochunguza...
US presidential chopper spotted in Dar
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE United States presidential helicopter, popularly known as Marine One, has been spotted cruising the skies of Dar es Salaam ahead of the historic visit of US president George W. Bush to Tanzania this...
Da! jamini nimeisoma kwa muda wa kutosha hiyo ripoti! Inaondoka na watu wengi kiasi kwamba siamini kama serikali ya CCM na bunge lake wanao ujasiri wa kutosha. nadhani ndio wakati muafaka wa upinzani kuchukua nchi. CCM imeshasambaratika ndugu zangu. Labda John Mnyika utuambie tofauti!!!!!
Du! Tatizo la wabunge wa CCM ndugu zangu ni kubwa kuliko tunavylitazama! We angalia kama utaona Mbunge yeyote pale. Hakuna Mbunge hata mmoja, wengi wanaingia pale kwa maslahi binafsi tu. Wafanyabiashara wa 'harmu' wengi wameingia CCM na kugombea ubunge! unadhani hao ndio watatetea wananchi...
Mh! Ripoti haiwezi kuwekwa wazi ndugu! Watu si watauwana? Wabongo ni watu wa ajabu sana, amesoma ripoti ya EPA na kumfukuza Balali watu wakataka kuandamana. Yaani wanaona kafanya kitu kikubwa sana!!!!!! Na hilo ndilo alilohitaji, basi. Wewe ukimwambia atoe ripoti wakati hata vyama vya upinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.