Ni kakitengo flani hivi kamewekwa maalum kupigia DILI! Kana budget kubwa kuliko baadhi ya wizara.
Ni kamradi kazuri kutoa ajira kwa watoto wao na ndugu zao.
Mi nadhani anashauriwa vizuri, labda matatizo yapo kwenye utekelezaji.
Mfano hii ya BIG RESULTS NOW! utekelezaji wake tumeuona ulianza na Mwangosi, Kibanda...........,then Ponda!though haukutekelezwa ipasavyo.
Inamaana haoni BLUE guard,GREEN guard, ila RED brigade tu!Kweli tusitegemee jipya kutoka kwa watu walewale wenye same low level of thinking maana wanatumia uzoefu kuongoza nchi.
Habari wakuu!
Najaribu kutafakari sana jinsi rasilimali zote za nchi hii zinavyobinafsishwa kwa wageni.Madini,misitu,mapori ya kuwindia,Mahoteli nk.Najiuliza swali moja la msingi na ambalo nashangaa kama wanasiasa wetu wanafikiria juu ya hili au?
Ni kwanini tunashindwa KU-NATIONALISE rasilimali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.