Kurudi kwa madaktari kazini bila ya maelewano ya kweli na muajiri wake ni kazi bure. Sikuzote mtu hafanyikazi kwa lazima, ukimlazimisha akafanya kazi kwa woga, basi hiyo kazi haitakuwa naufanisi. Utapata mgomo baridi ambao ni mbaya zaidi. Angalia sekta nyingine kama Ualimu, Kilimo,Maji, Mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.