Search results

  1. M

    Sugu aunguruma Bungeni, atetea kazi za wasanii

    Hebu tujuze TheRedKop maana hawa ndiyo wawakilishi wetu kama wanafanya uchafu kwenye maclub na dada zetu inabidi tuwaanike hadharani na si kuwaficha. Tuletee picha zake kama unazo kweli
  2. M

    Bila shaka wanawake akili yenu inafanya anticlockwise!

    Bebii hivyo ndiyo inavyotakiwa..bora uliyemzoea kuliko mpya anayeweza leta mizengwe zaidi ya kuwekwa sero.
  3. M

    Bila shaka wanawake akili yenu inafanya anticlockwise!

    Sasa yule Mh mwingine keshamwagwa that soon .. Mambo ya bongo celebrity
  4. M

    Huyu mama wa mhe. Bilal ndo sura yake au hasira?

    Ana mashaka na huyo dada mwenye tumbo atamchukulia mume..hachezi mbali na wa2 wakubwa wakimuomba 2 anawapa ili apate cheo..bahati mbaya wakina mama wa CCM hawampendi juu ya tabia yake ya kuchukua waume za wa2..kila akijaribu anapigwa chini cheo hapati. Uliza kilichomtokea na mama Msabaha
  5. M

    Namzimia shyrose

    Hajaolewa..
  6. M

    Namzimia shyrose

    Mali za wakubwa hizo kijana!
  7. M

    Namzimia shyrose

    Hayaolewa..na ndiyo maana anatangaza biashara yake kwa watu maarufu. Leo yuko na huyu umaarufu ukiisha anatafuta mwingine..miaka yote anahangaika na watu maarufu tu wengi wenye wake zao.
  8. M

    WABUNGE Vs WASANII

    Wakiwa bungeni wengi wao hawachangii hoja za msingi na husubiri kikao kiishe, posho imeingia break ya kwanza UDOM kuwadanganya dada zetu
  9. M

    Namzimia shyrose

    Take away ya wakubwa c mnacheck inavyojitahidi kujitangaza na kujisogeza kwa wateja wake? Biashara matangazo Bi Shyrose
  10. M

    MAlaria sugu ni nani naomba ufafanuzi???

    Mbunge wa CHAMA cha upinzani
  11. M

    Idd Azzan amlipua Shyrose Bhanji kuhusu kujihusisha CHADEMA...!

    Inawezekana hawa wanafahamiana vizuri sana. Nilisoma somewhere kuwa alikuwa na uhusiano naye bibie akachukuliwa mkulu wa CCM
  12. M

    Idd Azzan amlipua Shyrose Bhanji kuhusu kujihusisha CHADEMA...!

    Mkuu huyu dada Harakati zake atazihamishia CHADEMA SOON..
  13. M

    Idd Azzan amlipua Shyrose Bhanji kuhusu kujihusisha CHADEMA...!

    Kwa hiyo sapoti yote aliyoitoa ilikuwa SABABU YA JAMAA SIYO..BIBIE YUKO KATIKATI YA CHADEMA NA CCM
  14. M

    Idd Azzan amlipua Shyrose Bhanji kuhusu kujihusisha CHADEMA...!

    Kumbe CHADEMA ILIPATA MSAADA WA SHYROSE WAKATI WA UCHAGUZI. Ndiyo maana yuko karibu sana na CHADEMA! " Idd azzan ambae ni mbunge aliesimamishwa miezi 18 kushiriki shughuli za chama baada ya kushindwa kuthibitisha kauli yake nae kaibuka kumlipua shyrose bhanji kuwa katika uchaguzi mkuu...
  15. M

    Ni upi mchango wa wahindi(wadosi) Tanzania?

    Tuna product nzuri kama MWANAHARAKATI SHYROSE BHANJI..mpiganaji wa haki za wanyonge.
  16. M

    Magamba si mchezo: Idd Azzan aomba radhi CCM!

    Kumbe na AZAN naye keshakula kwa SHYROSE na kumpasia mkuu LOWASSA...HUYU DEMU KWELI MCHARUKO
  17. M

    Magamba si mchezo: Idd Azzan aomba radhi CCM!

    Lol kumbe Shyrose ngoma ya KILIMBE anapasiana na SUGU....lol kazi
  18. M

    Magamba si mchezo: Idd Azzan aomba radhi CCM!

    Hizi nidhamu za uoga na kuficha maovu hazifai kabisa huyu jamaa hafai kabisa kuwa kiongozi..hawezi jali maslahi ya wananchi waliompa nafasi!
  19. M

    Magamba si mchezo: Idd Azzan aomba radhi CCM!

    Huyu Idd Azzan atakuwa aliongea jambo ambalo analifahamu juu ya ufisadi, hawezi kuropoka tu..lakini kwa kuwa ni mwoga na nahisi anaogopa kupoteza madaraka yake amekubali yaishe.
Back
Top Bottom