nna week ya tatu na bleed tu yaan napata siku zangu.baada yakumaliza mp nilienda kukutana na mpenz.baada ya hapo ninableed mfululizo.jaman anaejua shida anisaidie
nimetafuta JF mchumba imeshindikana ssa naombeni mniambie kwa Dar maeneo Gan ndo nntapata watu wanao jiheshim achana nawale wezi!niko serios Jaman!kazi zangu zinanifanya nakua bizze kupita kiasi nasikutan na watu.
Mm ni mscana wa miaka 25.graduate,mrefu,shape ya kiafrika,nabia nzuri.natafuta mchumba kuanzia miako 29 -40.awe mchristo,mrefu,.mwenye mapenzi ya kweli.mengine tutaongea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.