Search results

  1. M

    BoT watoa scholarships kwa undergraduate & postgraduate 2014/2015

    Brother James, yaonyesha ww ni mtu mzuri sana kwenye masuala ya taarifa na uandisha.....nimependa majibu yako yoote, kama vipi nitaku-PM bro. Nimeipenda hii taarifa ya scholarships za BOT nahisi dogo ana sifa zote za kuombea, nitamshauri
  2. M

    Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

    R.I.P Mr. Charles Lekule, yes nimemkumbuka mshikaji
  3. M

    Waomba mikopo heslb 2013/14 wote watapata mikopo kwa 100%

    Bro James, kwa data na maelezo yako kwa kweli nimefarijika na kwa kweli 100% nakubaliana na wewe
  4. M

    Maombi ya ualimu vyuo vya serikali yafunguliwa rasmi mwisho 28.06.2013

    Naenda kuwaambia wadogo wa-apply faster coz hii ni fursa yao coz wanasifa za kuombea
  5. M

    Ajira za sekretariati ya utumishi

    Brother James, mimi pia nimewahi kukutana na vitu kama hivyo kwa hawa jamaa, hawapo serious kabisaa. Sisi tulifanyia pale Elimu ya Watu Wazima, hakuna hata mmoja wetu aliyekaguliwa vyeti. Nikajiuliza kuwa kumbe ajira zao zinatosha kabisa kuombe photocopies tu.....tunataka wabadilike kwa kweli...
  6. M

    Mbeya na Kilimanjaro: Siri ya mafanikio yao ni nini?

    Mbeya na Moshi ni kweli wamejitahidi sana. Ila statistics zinaonyesha kuwa kwa asili eneo la moshi limeamka kutokana na uwepo wa wakoloni enzi hizooo, yaani walisaidia sana kujenga mashule, huduma za kijamii n.k kwa wakazi wa eneo husika hivyo basi imepelekea sana maendeleo yao yaonekane kwa...
  7. M

    USHINDI wa Obama ni fundisho kwa wapinzani nchini Tanzania

    Nadhani OBAMA amefanya kama wanavyofanya wapinzani(CHADEMA) nchini. ameonyesha kuwa yeye si mtu wa kutumia pesa ktk kampeni hata kama ndiye kiongozi aliyemadarakani
Back
Top Bottom