nadhani sasa umekosa hoja..jifunze kujua namna ya kujenga hoja...usikimbilie matusi,kejeri na vitimbi...na unakoelekea utazira kwa maana inavyoonekana ndio tabia yako.......Leta hoja
Lakini Ndugu wananchi lazima tufahamu fika kuwa serikali haipangi bajeti eti wewe unemeeke...la hasha!!! bajeti ya serikali ni kwa niaba ya shughuli zake za kila siku...ikiwa ni pamoja na kutatua kero za wananchi...hivyo utekelezaji wa shughuli zake ndio hasa kiini cha bajeti ya serikali
Unajua inashangaza sana kuona watu walioelimika kujibizana maswaala yasio na msingi wowote wa kujenga jamii yetu ya wanaJF na wadau wengine.Pia inashangaza eti tunajiita "The great Thinkers".Mh!
Kimsingi tatizo bado lipo na lina endelea kuitafuna wizara ya Elimu kujikuta kila mara inapata Mawaziri ambao niwajuaji. Mh. Mungai alibadili mfumo mzima wa Elimu bila kushilikisha wadau wowote.Hivyo binafsi pamoja na wadau wengine wa JF mnakubaliana na mimi kuhusu hilo,na pamoja na hayo...
Ni matumaini yangu mko poa wana jf.
Napenda kupata ufafanuzi juu ya uamuzi wa sumatra kutaka usafiri wa noar usitishwe.hii ni kwa sababu vijana wengi walikuwa wamepata ajira pia watu wengi wakuwa wakisafiria ktk maeneo mbalimbali ya nchi.naomba lijadiliwe kwani leo mkurugenzi wa sumatra...
Unajua hawa mabwana ndio tabia yao ya Uhasama,chuki,kutosikilizana na Kujikweza pamoja na kimbelembele kisiko na maana yeyote.Hapo hawajashika nchi tayari wanatofautiana;Je,wakipata nafasi si ndio balaa?
Ni hayo tu.
HI! WANA JF.
Kuna jambo ningependa kufahamu juu ya ukosefu wa majina kwa baadhi ya wanafunzi wa stashahada ktk taasisi ya serikali(TCU).Mfano mdogo ni ukosefu wa majina yote ya wanaCBE-MWANZA kujikuta hawapati usajili eti kwa kuwa RECORD zao hazipo.Sasa NaNi alaumiwe kwa ubabaishaji huu...
Ama kwa hakika akutukanae hakuchagulii tusi,hivi nyie wanaCDM hamuoni haya hata kidogo kila siku kufuatilia nyumanyuma kama mkia.Halafua nyie mmekuwa mkiiga mambo mengi lakini CCM HAWASEMI CHOCHOTE.KWA MFANO UZINDUZI WA MTANDAO WENU WA KUCHANGIA CHAMA,HAPO JE,MNAWEZA SEMA LOLOTE.VILEVILE NYIE...
Ama kwa hakika akutukanae hakuchagulii tusi,hivi nyie wanaCHADEMA hamuoni haya hata kidogo kila siku kufuatilia nyumanyuma kama mkia.Halafua nyie mmekuwa mkiiga mambo mengi lakini CCM HAWASEMI CHOCHOTE.KWA MFANO UZINDUZI WA MTANDAO WENU WA KUCHANGIA CHAMA,HAPO JE,MNAWEZA SEMA LOLOTE.VILEVILE...
Ama kwa hakika kumekuwa na upotoshaji mkubwa ktk mkutano wa leo hususani kwa wale wasioitakia mema CCM.Nikianza na huyu bwana alie leta mada hii,yeye binafsi amejalibukutoa baadhi ya maelezo ambayo kimsingi si ya kweli;mfano mojawapo ni kuhusu suala la wanachama kuletwa kwa magari,sasa nalo hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.