bro mimi ni dereva wa bolt hyo bei unayosema hapo ya bolt tujiulize wote 10000 hyo bolt wanakata 23.5%kama comision yao dereva anabaki na shilingi ngapi?? bolt wanaumiza sana madereva kwa kigezo cha kumjali mteja kitu ambacho sio sahihi, Latra wametoa bei elekezi na wamewaambia comision yao...
mbona hamuelewi wakuuu??? kuombwa sio tatzo!! si kuna utaratibu wa kuomba hizo taarifa? shiida hapo ni kuwa utaratibu wa kuomba hizo taarifa za mteja hazifuatwa! mbaya zaidi hyo barua hata boss zake jamaa hawapitisha sasa itaaminikaje??? maana kila kitu kafanya yeye
Unajua nashindwa kuwaelewa watanzania wenzangu. Hivi mtu una akili timamu kweli. unalinganisha kesi ya sabaya na kesi ya mbowe??? Sabaya aliumiza watu, alitorture watu na wapo na wametoa ushahidi na sio hao tu amedhulumu mtu milion 90 na kesi bado yaendelea!! mbowe amemdhuru nani??l hayo...
pamoja na yote hayo mliyofanya bado mnawazuia kufanya vikao vya ndani? bado mnawakamata na kuwapa kesi za kutunga!!
My take!!
Waruhusuni waanze kufanya vikao vya ndani na nje kama nyinyi mnavyofanya harafu ndo muone maana halisi ya" UPEPO WA MABADILIKO"
Mkuu umeongea kitu cha ukweli mtupu!! hili lina ushahidi nalo kwa 100% kabisaa!! ukimpenda sana harafu akajua kuwa unampenda dharau zinaanza harafu anakuchukulia poa sana!!! nimeanza kulifanyia kazi kwa ubora zaidi
Mkuu tupe madini kwa nini israel inaonekana ni Taifa dogo lakini linakuwa na nguvu kuzishinda hizo nchi zingine zilizo ungana???? kuna siri gani kwa israel kuwa na nguvu hivyo??? tunaomba Elimu mkuu
like wise to me broh!!! mimi huwa nacheza ngumu kumeza tu jackpot.mpka sasa nilisha wahi wapiga betpawa 10 milion kwa kupatia mechi 15 kati ya 17. pia nina rekodi ya kupatia mechi 14 kati ya 17 tena mara 2. ninacho amini sio kila mtu hili game linaweza mkubali!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.