Oa ili mkifunga biashara akipata boss mpya amshikeshike apige. Binti mwenyewe mzinzi tu huyo....kumgusa tu imo.
Oa uje ulie kwamba umegongewa na house boy
Mkuu 6m kwa sehemu wanayouza tofari 100 rekebisha hiyo raman chap uanze ujenzi itakusogeza maana hio nyumba unapenda hata bati 30 hazizidi. So kwa hiyo 6m hata bpma unasimamisha fresh......usitishwe na mamilioni wanayoyasema wengi.
Ahsante, dawa zilikusumbua sana wakati unatumia? I mean kwa kiwango ukashindwa endelea na shughuli za kawaida?
Pia mazoezi nafanya wakati huu natumia dawa au baada ya kumaliza dozi. Kulingana na ushauri uliopewa
Mkuu, kwasasa sipo huko, lakini huwa nakuja kila baada ya miezi kadhaa ikiwezekana nipate hata email yako au namba ya simu ili siku nikifika nikucheki.
Natanguliiza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.