Kama dikteta Kikwete na mwenye mawazo yaliyopinda,wangekuwa na huruma wangetekeleza madai ya Madaktari haraka sana kwa manufaa ya wananchi wote ukiwemo wewe gamba la nyoka! Rudia kusoma tena riport ya SIKIKA!
Hili ni tatizo la kiafya yafaa kuwahurumia na kuwashauri nini cha kufanya badala ya wengine eti kufurahia.Mara nyingi huwa linatokana na medical disorder inayoitwa Polycystic ovarian syndrome(PCOS) ambapo hawa kina mama huwa wanapata matatizo ya ugumba(infertility),matatizo ya hedhi (menstral...
Hivi makamanda wameshafika Chalinze? Kama hawajafika,bas wafike hadi MSOGA maana wale wananchi wanaishi ktk lindi kubwa la umasikini,ni kama vile hawana mtetezi kabisa! Kwa ujumla wanahitaji ukombozi na utetezi kutoka kwa Makamanda!
Inasikitisha sana kuona mamilioni ya pesa yanavyotumika hovyo kwa mambo ya kijinga kabisa na huku wagonjwa wakikosa dawa hospitalini na kwenye vituo nya afya! Hakika CCM ni wauaji! Tutawapuuza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.