Hakuna alichorahisisha Bali ni njia tu, hivi ukiwa unajua 2+2=4 halafu mtu mwingine akiwa hajui anakuandikia hapo si kurahisisha,sawa sawa na wewe Mungu anajua tangia kitungwa kwako mpaka kuzaliwa ila wewe huwa hujui mpaka uzaliwe, pia Mungu anajua lini utakufa na kwa namna gani ila sisi hatujui...
Tangu mwanzo Yesu alijua amekuja duniani ili kumkomboa mwanadamu kwa sababu ya dhambi alizotenda, hivyo Yuda ni nani? Yuda ni Mimi na wewe ambao bado tupo katika kutenda dhambi hivyo tunazidi kumtesa Yesu msalabani, hivyo hakuna mkristo anayemlaumu Yuda Bali tunajilaumu wenyewe kwa madhambi...
Mimi nimhitimu Wa Chuo mwaka 2013 ninashahada ya usimamizi Wa biashara,yaano BBA hivyo natafuta mwenye kunisaidia namba 0687067376 kwa sasa nipo kahama asanteni sana
Kijana akumbuke kiapo alichofanya kanisan kuwa atampenda ktk shida na raha,ktk shida na maradhi,
ila kama uvumilivu anaweza rudi kanisani aliyewafungusha yaweza tenguliwa ila atambue ni kwa ajili ya ugumu wa moyo wake na kutotambua maana ya agano alilo fanya
si makosa yao bali uelewa mdogo na ufahamu mdogo! kwa ufupi sana ni kwamba shule za mission na hospital za mission ndio zilianza hata baadhi ya mashehe wamesoma huko tuwe wakweli viongozi wengi wakiwemo waisilamu wengi wamesoma huko! si walaum kwani akiri zao ziko kama bata haziwezi kutambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.