Utashangaa ukijua ukweli wa mambo. Hujui yawezekana hao wanaowekana kwenye mabango nyuma ya pazia wanapitia yapi. Ukiishi kwa kuangalia maisha ya kwenye mitandao na celebrities utakufa siku sio zako. Hata huku mitaani kuna watu wanafake sana kupendana ili tuu waonekane wanapendana lakini nyuma...
Achana na vijana. sema wanaume wote. Nina jamaa yangu miaka 45 alidatishwa na mtoto wa kitanga alafu mtoto mwenyewe ukimwangalia siyo pisi kivile. Jamaa alitelekeza familia anaweza kukaa miezi minne hajaenda kusalimia familia. na akienda lazima aumwe. akirudi kwa totoz anapona. Kumbe...
Hakuna cha app wala nini. Hizi simu za android ukidelete chochote (picha, video au sms) vinaenda kwenye recycle bin. Ni kama pc tuu. Mtu mjanja akizama kwenye recycle bin anakuta sms zote na picha ulizofuta. Mimi nikidelete kwenye inbox nazifuata kule kwenye bin nafanya ku empty recycle bin...
Kwanza unataiwa kujua kabla ya F1 kuna parent stock au F0 (F zero). Kwa kuroiler hawa wanapatikana kwa kufanya cross breed lati ya broiler na layer. Then hao F0 wakitaga na mayai kutotoleshwa ndo unapata uzao wa kwanza F1 . Watoto wa F1 wanaitwa F2. Kama hujaelewa lipia twisheni
Nimeingia chap mtandaoni nimeshapata namba zao na pia nimeingia youtube kucheki profile zao. barikiwa sana,
Unajua huku mtaani tunadanganywa sana. mtu anakuambia ana F2, lakini kumbe ni F3 unachukua vifaranga unakuta hawakui vizuri na hawakupi matokeo tarajiwa
Nahitaji kujua wapi naweza kupata kuku aina ya kuroiler ambapo naweza kupata vifaranga wa F1. hii ina maana huyo supplier yeye awe na Parent stock ya F0.
Location iwe kati ya Morogoro, Iringa au Dodoma
Hatakuacha kwa sababu ya hela zako lakini lazima akusaliti. unampa hela lakini muhogo haupati vzuri lazima akusaliti tena anaenda kumpa hela huyo njemba atakayemfikisha kileleni
Ni upumbavu tuu. Mimi mwanaume lakini nikiwa na langu jambo limeniumiza nalia haswa. Nilifiwa na mama nimefika msibani nikalia watu wananigombeza eti mi mwanaume. nikawaacha nikaenda zangu room nikalia weeeee nikamaliza tukaendelea na taratibu zingine
Linapokuja suala la kilimo cha umwagiliaji, kuna mbinu nyingi hutumika. Leo naomba kushea nanyi drip irrigation. Sasa ili maji yasambae shambani yanatakiwa yawe na pressure nziri. Watu wengine hujengea tanki juuu ambapo maji hupandishwa kutoka chanzo husika hadi kwenye tanki ndipo yashuke kwa...
Kwa hali inavyoenda sijui kama upinzani utapata wabunge hata 5. Lakini kuna mantiki gani wao kuwa wabunge katika mazingira haya?
Bora waachie wajivue tu wabaki CCM 100% maana kinachofanyika ni kuhadaa dunia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.