Habari wanajamvi!!
Nimepita vipita shoto vya hapa Morogoro vya msamvu, Mjini na SUA kote huko nimekuta kuna POLISI wasiopungua kumi kwa kila kipita shoto. Na Kiongozi wao aliwaambia viongozi wa CHADEMA kwamba hakuna POLISI wa kutosha kulinda amani kwenye mkutano wao. Sasa hawa walioko huku...
mshuwa umeona sasa kwamba ni vitu vingi alikuwa hajakwambia? Haya na polisi je alienda kufanya nini?
Kwenye mgogoro huo umetuambia walishirikishwa Wazazi wa mwanamke, mshenga pamoja na wasimamizi wa Ndoa na mwafaka haujapatikana. sasa aende tu kwa PAROKO nadhani huko watayamaliza.
Ila mshauri...
Hao unaowazungumzia hapo nawafahamu vilivyo. Sasa ni hivi
Huyo kaka alimpa ruhusa mke wake akamuuguze dada yake, wiki imekatika dada yake bado hali haikuwa nzuri akaomba kuendelea, kilichotokea baada ya hapo sasa. Huyo kaka akaandika kwenye wall yake ya fb "nimemruhusu mke wangu akasalimie wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.