Search results

  1. Drizzy2

    Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

    mimi nasubiri kugegeda wireless unajilia vyako mtu yupo mwanzaa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Drizzy2

    Umeme wa 'wireless' kuiangamiza TANESCO!

    kweli kabisa mkuu hilo jambo kwa umeme halipo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Drizzy2

    Nape: Ruge alikuwa jasiri kwa kutaja hadharani watu waliovamia Clouds

    huyo jamaa anakera sana sijui analiwa 0714!? silipendi linafiki sanaaa mchumia tumbo tuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Drizzy2

    Siamini kumbe Mchumba wangu ni malaya! Wanawake ni hatari!

    Kuna ukweli wa hilo mkuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Drizzy2

    MEMBE ALONGA: Ashangazwa na namna alivyoitwa na Bashiru, amuita Musiba mwongo, mzushi na mfitini

    Ni jambo gumu membe kuwa rais kwa kipindi cha pili cha magufuli ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko membe kuwa rais
  6. Drizzy2

    Huu ujumbe usomwe na wanaume tuu

    Ukiwa na pesa hauwezi tafuta wakukuhudumia watakuja wengi hadi utawarudisha warudi makwao
  7. Drizzy2

    Ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumlawiti mgoni wake

    Mnaliwa wote ukijifanya mbishi
  8. Drizzy2

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Nyuchi zote zilizozagaa bado hiki chama kipo!!?
  9. Drizzy2

    Biashara zinazotumia mfumo wa "Network Marketing" na Ulaghai uliofichwa ndani yake

    Ooh nimekupata mkuu maana ukiwasikiliza wanashawishi sanaa unaweza kuingia mtegoni
  10. Drizzy2

    Biashara zinazotumia mfumo wa "Network Marketing" na Ulaghai uliofichwa ndani yake

    Hapana mkuu kutokana na semina zao piaah zipo kishabiki
  11. Drizzy2

    Biashara zinazotumia mfumo wa "Network Marketing" na Ulaghai uliofichwa ndani yake

    Poleni na mihangaiko ya kulijenga taifa, habalizenu mabibi na mabwana....Niende kwenye mada Naomba kujua kwa waliowahi kufanikia kupitia makampuni haya BF SUMA,GNLD,FOREVER LIVING, nk,. Yapo mengi ila mengine siyakumbuki yanajihusisha na vipodozi virutubisho kwa binadamu naomba tupeane shuhuda...
  12. Drizzy2

    Bf suma

    Nataka kujua hiyo bf suma saizi bado ipo?
  13. Drizzy2

    Michango ya MV Nyerere kujenga Hospitali/kituo cha afya

    Mimi hata zingetumika kwa kuvutia bangi ningeona vzr zaidi watanzania tunahitaji kufunzwa
  14. Drizzy2

    Bagamoyo: Mapya yaibuka kufuatia JWTZ kumua raia aliyefika kambi ya jeshi

    Mkuu usiandike jambo bila kulifanyia utafit vzr au kama hulijui kausha tuu umecoment kwa uelewa wako ila imeonyesha unauelewa mdogo sana wa mambo ya kijeshi na mambo ya maradhi ya akili nzani ni busara zaidi kukaa kimya ukajifunza kutoka kwa wanaofahamu
  15. Drizzy2

    Bagamoyo: Mapya yaibuka kufuatia JWTZ kumua raia aliyefika kambi ya jeshi

    Kwa comment zako ni ushahidi tosha kuwa watanzania waliowengi ni vichaa wahi matibabu mkuu kimeanza hicho!
  16. Drizzy2

    King'amuzi kipi nitapata channels za english movies?

    Movies za nnje yaani English movies kutoka hollywood,uk, russia,na hata China nitapataje channels za filamu hizo?
  17. Drizzy2

    King'amuzi kipi nitapata channels za english movies?

    Habari za jioni wana jf dhumuni la Uzi huu kutaka kuwauliza wapenzi wa filamu za kimarekani kama mimi ni kinga'muzi kipi nitapata channels za movies za nnje kwa bei nzuri za malipo ya mwezi? Maana ninatumia dstv nalipia elfu 39 lakini napata channels za movies 2 tu ambazo nazo zinarudia rudia...
Back
Top Bottom