Poleni na mihangaiko ya kulijenga taifa, habalizenu mabibi na mabwana....Niende kwenye mada Naomba kujua kwa waliowahi kufanikia kupitia makampuni haya BF SUMA,GNLD,FOREVER LIVING, nk,. Yapo mengi ila mengine siyakumbuki yanajihusisha na vipodozi virutubisho kwa binadamu naomba tupeane shuhuda...
Mkuu usiandike jambo bila kulifanyia utafit vzr au kama hulijui kausha tuu umecoment kwa uelewa wako ila imeonyesha unauelewa mdogo sana wa mambo ya kijeshi na mambo ya maradhi ya akili nzani ni busara zaidi kukaa kimya ukajifunza kutoka kwa wanaofahamu
Habari za jioni wana jf dhumuni la Uzi huu kutaka kuwauliza wapenzi wa filamu za kimarekani kama mimi ni kinga'muzi kipi nitapata channels za movies za nnje kwa bei nzuri za malipo ya mwezi? Maana ninatumia dstv nalipia elfu 39 lakini napata channels za movies 2 tu ambazo nazo zinarudia rudia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.