Search results

  1. T

    Dark days 17/03/20...

    It is getting more dark
  2. T

    Dark days 17/03/20...

    Yupo wapi huyo?
  3. T

    Dark days 17/03/20...

    Na leo maadam naye anamsubiri yoga kwa hamu kubwa
  4. T

    Dark days 17/03/20...

    Yoga anaibuka saa sita usiku
  5. T

    Dark days 17/03/20...

    Yoga ataibubaka saa sita usiku
  6. T

    Dark days 17/03/20...

    Amen
  7. T

    Je, mwenyekiti Mbowe ni mtu huru?

    Ni mfungwa huru kwasababu kesi ilimalizwa kwa mashart ndio maana alipotoka tu lupango kaenda moja kwa moja kuookea maagizo
  8. T

    Dark days 17/03/20...

    Hahahaaa!
  9. T

    Mchele kutoka nje na hatma ya wakulima wetu

    Kwani wizara ya elimu haikuwepo hadi vitabu vya ngono vimeingizwa mashuleni ndio wanakuja kujua?
  10. T

    Mchele kutoka nje na hatma ya wakulima wetu

    Kwanini mchele tu? Mbona kwenye bomu la sukari wasiruhusu? Bidhaa za viwandani utasikia tunalinda viwanda vya ndani why not wakulima? Anayeona chakula ni ghali aende shamba akalime chake?
  11. T

    Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

    Unadhani hicho ndio kigezo cha kufanyiwa lolote? Amka mzee kila siku sio jumapili Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
  12. T

    Dark days 17/03/20...

    Tuombe asiwepo
  13. T

    AG Feleshi: Sheria ya tozo haikutungwa kwa kukurupuka, ilipitia hatua zote, kama haifai itapitia utaratibu ule ule kuifuta

    Usiwe mbaguzi hili sio swala la watumishi ni swala la wananchi wote. Kuwa mtumishi unadhani wewe ni special?
  14. T

    Nje ya Ujamaa Tozo haziepukiki kwa sababu viongozi hawawezi kufunga mikanda

    Kwanini usubiri akuelewe usimfanye aelewe hata kama ni kichwa maji?
  15. T

    Maajabu ya Musa na Firauni: Tulimuona Raisi Magufuli “mshirikina” katika Suala la Uviko-19 na Sasa tunamuona “mama” Mwanasayansi katika suala la Mafut

    Nashindwa kuattach ila kuna catoon inasema welcome to CCM you dont need to use your brain. Mambo ni mserereko tu ukiwaza kijanikijani. Iko siku ya kwenda kulalia makochi ya magogoni tukisubiri majibu ya maswali yako.
  16. T

    Sikujua, kumbe chanjo ya uviko ni lazima na si hiyari tena?

    Miungu ni wengi taja Mungu unayemzungumzia
  17. T

    Sikujua, kumbe chanjo ya uviko ni lazima na si hiyari tena?

    Kutokujua panadol imetengenezwaje ndio funguo ya kuruhusu kila dawa? Too low.
  18. T

    Rwanda inarusha Satelaiti ya Kijeshi. Je, Tuko Salama?

    Anaongelea hawa wanaosema wale kwa urefu wa kamba zao.
  19. T

    Serikali irudishe ada mashuleni au izuie michango yoyote

    Hakuna ubishi juu ya hilo. Hoja ya mtoa mada ni kwamba, Serikali isijitape kutoa elimu bure wakati hakuna uhalisia. Bora ishirikiane na wadau itangaze kwamba ghalama za elimu ni Y, serikali itachangia X na wazazi watachangia Z. Hivyo ada (Y) = X+Z. Kwa kufanya hivyo wadau watajiandaa...
Back
Top Bottom