Hongera. Umenielimisha kitu ambacho nilikuwa sikielewi vizuri. Kwa hiyo TL anaieleze serikali ilivyo kwa sasa na si Taifa au nchi ilinyo. Kama ni hivyo aendelee Tu na safari zake kwa kuelezea yaliyomkuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata baba wa Taifa aliwahi kusema chagueni viongozi wenye Dini ki uhakika ndio watenda haki na wenye huruma kwa binaadamu wenzake. Huyu mzee ndio tundahalisi la mfano mwema.
Hakuna kitu hapa. Yote haya hamna cha msaada kwa mtu, bali kuna watu wanatafutwa ili wanyanyaswe kama kwenye dill ya dawa za kuleta. Angalieni mwisho wake utakuwaje.
Ahsante. Hapo umesema mkuu. Makonda hata siku moja hafanyi kitu cha kuleta faida kwa Watanzania wenzake, bali huanzisha kwa lengo la kuja kuthalilisha wengine anaowachukia. Chunguza na utaona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.